Duniani watu tunatofautiana priorities, ila ikiwa unaamua kuoa mke ndio priority yako inapokuja swala la mahusiano unless kama ulilazimishwa, inafikia point unajutia michepuko na una mke?? Tulia chini sana mkuu, mpende mke wako au muache usimtese mkuuDah leo nimekuwa na siku mbaya sana,kuna michepuko yangu nilikuwa ninaipenda sana,leo imenipiga chini bila huruma,yani nimevurugwa sina raha kabisa, wife alinikaribisha chakula nimemzingua sana bila sababu naona kama ananifokea,yani nimeumia sana, natamani hata nimshirikishe wife anishauri, ila haya mapenzi yanauma jamani,msiwaseme vibaya wanaojinyonga!
Dah ila mtoto wa kiume ukiambiwa hv, lazima karoho kakuume atulie tu na mke wake hahaha ndio ajue anavumiliwa tu mke wake, analeta janja janja...ila jmn michepuko miwili na haijuani yotr isepe, maybe hana maajabuUkiona hivyo maajabu huna.
Lakini tambua mke ni mke tu anastahili heshima yakeMkuu muda mwingine unampenda mchepuko kuliko wife, mapenzi acha tu
Sababu ya kunipiga chini ni kwamba imejuana ikazinguana huko halafu wakahamia kwangu.Dah ila mtoto wa kiume ukiambiwa hv, lazima karoho kakuume atulie tu na mke wake hahaha ndio ajue anavumiliwa tu mke wake, analeta janja janja...ila jmn michepuko miwili na haijuani yotr isepe, maybe hana maajabu
We jamaa kiazi kweli, kwahiyo hasira zako za michepus unashindwa kujicontrol unafika nazo hadi nyumbani? Mbaya zaidi na mke unamfokeaMapenzi yanauma ndio, ila ukiwa ndezi yatakuumiza Mara mia...
Kunywa Espresso yako ukimaliza ukojoe ulale. G9t
Haya jipige kifua jiambie" Mimi BWEGE"..Kisha ulale na usisahau jifunika shuka gubigubi.
Achana nao, chukua wa tegeta na segerea wakijuana maybe watakua wachawi wanakutana kwenye vikao vyao...hahahaSababu ya kunipiga chini ni kwamba imejuana ikazinguana huko halafu wakahamia kwangu.
Ushakua sugu, ila naamini yale mapenzi ya utoto ulishalia...now una akili na unatambua unaweza ishi bila mapenzi, ila mtu una miaka zaidi ya 27 au 30, bado unalilia mapenzi ni ujingaaa sanaa,Yaan kabisa watu wanaumia na kulia kisa mapenzi? Au mie ndo sielewi.
Wee nae sasa khaaah, mtu asipoumia wala kulia kisa mapenzi ni sugu? Wengine mapenzi kwetu sio priority, na kuna maisha nje ya mapenzi.Ushakua sugu, ila naamini yale mapenzi ya utoto ulishalia...now una akili na unatambua unaweza ishi bila mapenzi, ila mtu una miaka zaidi ya 27 au 30, bado unalilia mapenzi ni ujingaaa sanaa,
Wanaolilia mapenzi wanakuwa na hormone imbalanceWee nae sasa khaaah, mtu asipoumia wala kulia kisa mapenzi ni sugu? Wengine mapenzi kwetu sio priority, na kuna maisha nje ya mapenzi.
Ahsante sana, ubarikiwe.Wanaolilia mapenzi wanakuwa na hormone imbalance
Huna haja ya kuwekeza moyo wako kwa mpenzi badala ya Mungu wa mbingu na nchi
Kwako wee ndo haiwezekani, kwa wengine ni rahisi sana.Hamna kitu kama hicho
Kama sio sugu okay, cocastic we maarufu MMU hata sibishani na ww utawaleta kina hearly hapa nitafute new id, hv sijui nije pm hata ule msosi flan leo mumyWee nae sasa khaaah, mtu asipoumia wala kulia kisa mapenzi ni sugu? Wengine mapenzi kwetu sio priority, na kuna maisha nje ya mapenzi.
Hata sijaelewa kwa kweli lol.Kama sio sugu okay, cocastic we maarufu MMU hata sibishani na ww utawaleta kina hearly hapa nitafute new id, hv sijui nije pm hata ule msosi flan leo mumy