Nimepigika nisaidie mawazo

Mrs minel

Member
Sep 3, 2014
64
53
Habari wakuu,

Mwaka juzi baada ya kumaliza chuo na kukosa kazi ya nilichosomea, nikaanza kufanya kazi ya receptionist ktk hoteli ya wahindi. Sijawahi fanya kazi ngumu km ile kwanza hamna off kilasiku kazini afu ni night shift tu ila nilivumilia sababu ya shida zangu, hawalipi vuzuri sn mshahara ni laki mbili tu kula na nauli juu yako. nimefanya mpaka mwaka jana mwezi wa 11, nikabahatika kupata kazi nyingine ni hizi tigo shop ndogo, kwakua nilikua nimechoka na ile kazi ya wahindi nikaona niondoke, ila najuta kukurupuka kwani ningefikiri kwanza maana hii ofisi niliyoiendea ni mpya kabisa ndo imeanza na mm km mfanyakazi wa 1. Boss mpya tulikubaliana atanilipa laki 3..sasa tatizo hii tigo shop ni mpya na imefunguliwa location mbaya hamna wateja kabisa, tokea nimeanza kazi sijawahi kulipwa mshahara boss anasema mpk duka lianze kuingiza hela, Mwezi wa 11 alinipa elfu 50 na wa 12 ni hivyovyo, kilasiku natumia 3000 toka mfukoni mwangu ya nauli na chakula.

Maisha ni magumu sn nahitaji pesa nimepanga, mama yng ananitegemea..sasa nilikua nauliza ni kweli mtu akifungua biashara ni mpk ianze kumlipa ndo mfanyakazi alipwe au anatakiwa akubali kuingia hasara miezi ya mwanzo anilipe mfukoni mwake? Na la pili nilikua nafikiria kuomba kurudi kule kwa wahindi japo nilikua nachoka lkn sina jinsi maana familia inaniangalia, nimejaribu kutafuta kazi nimekosa, je kurudi kule ni uamuzi sahihi? Naombeni ushauri ndugu zangu.
 
Kwanza suala la kuchoka, kuonewa au kutotendewa haki unapaswa kulitoa akilini mwako.

Pili, Kama unaweza rudi kwa hao wahindi bila kuacha kazi hapo Tigo Shop na kama watakukubalia; fanya kazi.

Yaani nenda kwa wahindi ( kama ulivyosema ni Night Shift ).

Then, Njoo ulale ofisini Tigo Shop ( Kama ulivyosema hakuna wateja kwa sasa ).

Kwa muktadha huo hapo Tigo Shop mambo yakikaa sawa, then unaacha huko kwa wahindi.

Ni Ngumu lakini Inawezekana
 
Jitahidi kupanua zaidi uwezo wako!...
Kwamba unaingia night shft...! Hangaika pigana uwezavyo mchana uwe na shughuli yyt ya kukuingizia hata mia mia! Usibweteke!
Siku zote hutakosa njia ya kutokea!
Kila la heri usikate tamaa
 
Pole, unapitia kipindi kigumu. Kazi za hoteli ni ngumu sana hasa ukifanya zile zinazomilikiwa na Wahindi, wabongo na Wachina. Ungefanya kwa Wazungu ungeishi vizuri zaidi ya watumishi wengi wa umma.
Komaa na Wahindi maana kazi ya hotel ni moja ya kazi ya kujiuza(kujipromote) kuliko kazi za tigo.
 
ushauri wangu dada yangu rudi kwa hao wahindi, hiyo tigo shop ni wababaishaji watakusumbua, kama ulishapokea hiyo elfu hamsini na hukuacha, hapo wameshapata uhakika una shida chochote watakachokulipa utakubali, achana nao! rudi kwa wahindi!
 
For 200,000/- how could you live?
Da,sijui nikusaidiaje?
-lakini si umeolewa?
#manengelo huwa namwamini sana,she can suggest you well.
 
Habari wakuu, mwaka juzi baada ya kumaliza chuo na kukosa kazi ya nilichosomea, nikaanza kufanya kazi ya receptionist ktk hoteli ya wahindi. Sijawahi fanya kazi ngumu km ile kwanza hamna off kilasiku kazini afu ni night shift tu ila nilivumilia sababu ya shida zangu, hawalipi vuzuri sn mshahara ni laki mbili tu kula na nauli juu yako. nimefanya mpaka mwaka jana mwezi wa 11, nikabahatika kupata kazi nyingine ni hizi tigo shop ndogo, kwakua nilikua nimechoka na ile kazi ya wahindi nikaona niondoke, ila najuta kukurupuka kwani ningefikiri kwanza maana hii ofisi niliyoiendea ni mpya kabisa ndo imeanza na mm km mfanyakazi wa 1. Boss mpya tulikubaliana atanilipa laki 3..sasa tatizo hii tigo shop ni mpya na imefunguliwa location mbaya hamna wateja kabisa, tokea nimeanza kazi sijawahi kulipwa mshahara boss anasema mpk duka lianze kuingiza hela, Mwezi wa 11 alinipa elfu 50 na wa 12 ni hivyovyo, kilasiku natumia 3000 toka mfukoni mwangu ya nauli na chakula.

Maisha ni magumu sn nahitaji pesa nimepanga, mama yng ananitegemea..sasa nilikua nauliza ni kweli mtu akifungua biashara ni mpk ianze kumlipa ndo mfanyakazi alipwe au anatakiwa akubali kuingia hasara miezi ya mwanzo anilipe mfukoni mwake? Na la pili nilikua nafikiria kuomba kurudi kule kwa wahindi japo nilikua nachoka lkn sina jinsi maana familia inaniangalia, nimejaribu kutafuta kazi nimekosa, je kurudi kule ni uamuzi sahihi? Naombeni ushauri ndugu zangu.
Duhh pole sana sana maisha magumu kinoma kwa graduates. Kama unaweza kurudi kw wahindi rudi ila kwa hiyo laki mbili kwa mwezi ni shida asiee.
Ninaweza kukupa option kma unahitaji nifuate PM. (Angalizo nisije shambuliwa labda nakunyemelea hata sina nia ya kukutana nawe ila kwakuwa umesema ni graduate nimewaza ni kazi unayoweza kuifanya ukapata zaidi labda)
 
Nina uzoefu na hizo "Service Desk",hapo boss hawez kukulipa vizuri mpaka ichanganye kimapato.
Mkuu sehemu kama hizo wayeja wakiizoea ni utapiga pesa mpaka utafurahi,then kwa office kama hiyo kama ni mjanja huwezi hata kutegemea huo mshahara wake.
Piga sana hela katika Sim Swaps,Registrations,n.k.
Habari wakuu,

Mwaka juzi baada ya kumaliza chuo na kukosa kazi ya nilichosomea, nikaanza kufanya kazi ya receptionist ktk hoteli ya wahindi. Sijawahi fanya kazi ngumu km ile kwanza hamna off kilasiku kazini afu ni night shift tu ila nilivumilia sababu ya shida zangu, hawalipi vuzuri sn mshahara ni laki mbili tu kula na nauli juu yako. nimefanya mpaka mwaka jana mwezi wa 11, nikabahatika kupata kazi nyingine ni hizi tigo shop ndogo, kwakua nilikua nimechoka na ile kazi ya wahindi nikaona niondoke, ila najuta kukurupuka kwani ningefikiri kwanza maana hii ofisi niliyoiendea ni mpya kabisa ndo imeanza na mm km mfanyakazi wa 1. Boss mpya tulikubaliana atanilipa laki 3..sasa tatizo hii tigo shop ni mpya na imefunguliwa location mbaya hamna wateja kabisa, tokea nimeanza kazi sijawahi kulipwa mshahara boss anasema mpk duka lianze kuingiza hela, Mwezi wa 11 alinipa elfu 50 na wa 12 ni hivyovyo, kilasiku natumia 3000 toka mfukoni mwangu ya nauli na chakula.

Maisha ni magumu sn nahitaji pesa nimepanga, mama yng ananitegemea..sasa nilikua nauliza ni kweli mtu akifungua biashara ni mpk ianze kumlipa ndo mfanyakazi alipwe au anatakiwa akubali kuingia hasara miezi ya mwanzo anilipe mfukoni mwake? Na la pili nilikua nafikiria kuomba kurudi kule kwa wahindi japo nilikua nachoka lkn sina jinsi maana familia inaniangalia, nimejaribu kutafuta kazi nimekosa, je kurudi kule ni uamuzi sahihi? Naombeni ushauri ndugu zangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza suala la kuchoka, kuonewa au kutotendewa haki unapaswa kulitoa akilini mwako.

Pili, Kama unaweza rudi kwa hao wahindi bila kuacha kazi hapo Tigo Shop na kama watakukubalia; fanya kazi.

Yaani nenda kwa wahindi ( kama ulivyosema ni Night Shift ).

Then, Njoo ulale ofisini Tigo Shop ( Kama ulivyosema hakuna wateja kwa sasa ).

Kwa muktadha huo hapo Tigo Shop mambo yakikaa sawa, then unaacha huko kwa wahindi.

Ni Ngumu lakini Inawezekana
Hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom