Nimependekezwa bunge la katiba

Nimependekezwa bunge la katiba

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,966
Wanajanvi, Mungu akipenda basi nitawakilisha Bunge la Katiba, jina langu ni moja ya majina yaliyopendekezwa na kundi langu kuwakilisha. Hivyo nikiwa kama mwanajf naomba sala zenu na hata ikibidi matambiko ya kimila ili niweze kuingia na kutetea masilahi mapana ya watanzania, niwaahidi tu nikifanikiwa msimamo wangu juu ya Muungano utakuwa ni wa serikali 2 huru kwanza na suala la Muungano litajadiliwa na nchi husika zikiwa huru na kama itaonekana kuna umuhimu basi tutaungana baadae, hakuna haja ya kulazimisha kuungana kama kuna pande haitaki na ikibidi basi tutaungana na Zanzibar katika shirikisho la Afrika mashariki zikiwa nchi huru.
 
Wanajanvi, Mungu akipenda basi nitawakilisha Bunge la Katiba, jina langu ni moja ya majina yaliyopendekezwa na kundi langu kuwakilisha. Hivyo nikiwa kama mwanajf naomba sala zenu na hata ikibidi matambiko ya kimila ili niweze kuingia na kutetea masilahi mapana ya watanzania, niwaahidi tu nikifanikiwa msimamo wangu juu ya Muungano utakuwa ni wa serikali 2 huru kwanza na suala la Muungano litajadiliwa na nchi husika zikiwa huru na kama itaonekana kuna umuhimu basi tutaungana baadae, hakuna haja ya kulazimisha kuungana kama kuna pande haitaki na ikibidi basi tutaungana na Zanzibar katika shirikisho la Afrika mashariki zikiwa nchi huru.

Hongera mkuu, ila mi nilidhani unaenda wakilisha mawazo ya kundi lilo kutuma (wananchi) kumbe unaenda wakilisha na kutetea msimamo wako? I am lost!
 
Hongera mkuu, ila mi nilidhani unaenda wakilisha mawazo ya kundi lilo kutuma (wananchi) kumbe unaenda wakilisha na kutetea msimamo wako? I am lost!

ni kweli naenda wakilisha maoni wa walionituma ila na mimi siendi kama debe tupu nami pia nina yangu.
 
hakuna kitu hapo kwa wewe na waliokuchagua, hivi unaua nafasi ziko 6 tu? halafu tusidanganyane, kwa nini tukuombee wewe tu hao wengine je? na ukweli ni kwamba unakwenda kwa ajli ya UHACHA
Wanajanvi, Mungu akipenda basi nitawakilisha Bunge la Katiba, jina langu ni moja ya majina yaliyopendekezwa na kundi langu kuwakilisha. Hivyo nikiwa kama mwanajf naomba sala zenu na hata ikibidi matambiko ya kimila ili niweze kuingia na kutetea masilahi mapana ya watanzania, niwaahidi tu nikifanikiwa msimamo wangu juu ya Muungano utakuwa ni wa serikali 2 huru kwanza na suala la Muungano litajadiliwa na nchi husika zikiwa huru na kama itaonekana kuna umuhimu basi tutaungana baadae, hakuna haja ya kulazimisha kuungana kama kuna pande haitaki na ikibidi basi tutaungana na Zanzibar katika shirikisho la Afrika mashariki zikiwa nchi huru.
 
ni kweli naenda wakilisha maoni wa walionituma ila na mimi siendi kama debe tupu nami pia nina yangu.
Ni kweli ila ukianza tutangazia msimamo wako, nasisi tulio upande wa pili, siyo kwamba hata tukikupa maoni yetu itakuwa sawa na kutwanga maji kwenye kinu kwa vile wewe unamsimo wako tayali?
 
Ngoja kwanza nipitie wasifu wako hapa JF kwa kurejelea sredi zako zote zilizopita...

Will be back...
 
Uwazi wa mikataba ya nchi. and full disclosure of the previous ones china walitusainisha mikataba 17 kiaina
 
Hizo serekali 2 ni ipi na ipi?au ni kama zile serekali2 za magamba ya mapinduzi na ya muungano bila ya kuwepo serekali ya Tanganyika?.
 
Kisebengo mkubwaa! Yaani unataka uturudishe kwenye mfumo wa kijizi wa serikali 2? No! No! No!x 1,000,000,000,000. Nenda kawaambie waliokutuma na wewe umekwama kama alivyokwama ZZK.
 
Kisebengo mkubwaa! Yaani unataka uturudishe kwenye mfumo wa kijizi wa serikali 2? No! No! No!x 1,000,000,000,000. Nenda kawaambie waliokutuma na wewe umekwama kama alivyokwama ZZK.

hujanielewa, mimi nataka serikali 2 huru, yaani Tanganyika na Zanzibar, huo muungano tutautafakari siku za usoni.
 
Back
Top Bottom