Nimependana na mwanamke msomi

Mvumilivu hula mbivu

Acha kabisa maneno haya> hii ilikuwa zamani sio sasa ww!

Hivi hujui misemo ya leo..........
1. Aliye juu mfuate huko huko
2. Mvumilivu atangija mpaka kifo kimpate

Weeeeee tena acha kabisa maneno hayo utaniudhi sasa hivi
 
sasa si bora wewe umeishia sec, mim mpenzi wangu aliishia la 5 ila ana good life na mm nimefika chuo na nna mpango wa kuendelea, na ninampenda si utani., usomi sio tatizo, tatizo ni kupendana, kama mnapendana pasipo kuangalia hali zenu za elimu haina tatizo kabisa, anakupenda bwana, kuwa mpole utapata tu, wew unadhani angekua hajasoma ndo ungepata kwa haraka???:confused2:



 

Isije ikawa ana degree moja ndo usomi unaokubabaisha
 
miez miwili tu unataka mzigo...upo ki ngono kimahusiano?ww kha ebu angalia malengo yako nae..acha ngono
 
Kama huna nyimbo za kisomi hutamuweza msomi...hata kwenye 6x6 utapigwa maswali ya kisomi,jaribu kupitia madesa yake.
 

kuwa mpole si alisema ndiyo yeye mwenyewe ..Mimi demu wangu Ana masters na sasa yuko school of law Mimi Nina ka bachelor kangu hata sina hofu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…