econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 22,138
- 32,716
Katika hotuba yake Mwenyekiti wa Chadema amewatambulisha wabunge wa bunge la wananchi. Hi concept nimependa Sana. Hivyo inabidi chadema waifanyie kazi na kuanzisha hata vikao vyao.
1. Litakuwa na uwezo wa kujadili Mambo yanayo wagusa wananchi moja kwa moja.
2. Litakuwa na uwezo wa kukosoa serikali kwa uwazi.
3. Litakuwa na uwezo wa kuleta bajeti mbadala.
4. Litakuwa na uwezo wa kuishauri serikali kwa uwazi.
Nawapongeza chadema kwa ubunifu huu.
1. Litakuwa na uwezo wa kujadili Mambo yanayo wagusa wananchi moja kwa moja.
2. Litakuwa na uwezo wa kukosoa serikali kwa uwazi.
3. Litakuwa na uwezo wa kuleta bajeti mbadala.
4. Litakuwa na uwezo wa kuishauri serikali kwa uwazi.
Nawapongeza chadema kwa ubunifu huu.