Nimepatwa na upofu

Nimepatwa na upofu

wachina wanakuja kuwa walinzi wetu
Umepatia miss chagga, ya kuwa kampuni ya ulinzi toka China, ndiyo imepewa tender ya kuilinda hiyo barabara yetu ya mwendo kasi, kwa kuwa wameona kampuni nyingi za ulinzi zilizopo hapa TZ haziaminiki tena, kwa kuwa zinaonekana kama zimeajiri 'vibaka' watupu!
 
mi nahisi nijoint venture between two countries kuanzisha private security company. nothing wrong with that. TZ inaprovide manpower na China ina provide tech. na gadgets
 
Nilivyosoma heading nikajiuliza inakuwaje mtu kuwa kipofu na kuweza kubrowse na ku-type vizuri ,ingawa inawezakana ila nilitaka nijue zaidi

hilo swali hata mimi nilikua najiuliza imekuaje? au kapofuka jicho moja?
 
Umepatia miss chagga, ya kuwa kampuni ya ulinzi toka China, ndiyo imepewa tender ya kuilinda hiyo barabara yetu ya mwendo kasi, kwa kuwa wameona kampuni nyingi za ulinzi zilizopo hapa TZ haziaminiki tena, kwa kuwa zinaonekana kama zimeajiri 'vibaka' watupu!

mimi naona sawa tu kama watu wanapewa kazi hawawezi heshimu basi tena
 
Back
Top Bottom