Miss Bunyeta
Member
- Feb 22, 2015
- 70
- 14
miss chagga ndo tumefikia hapa? si watakuwa wanahamisha Jeshi kdgkdg?
Kuna mbunge humu aliulize hili swali Bungeni?Wanajamvi naomba mnieleweshe mnaielewaje hiki kibango? naamini wengi tumepita tukakiona katika vituo vya mabasi ya mwendo kasi mnakielewaje tafadhali?
Nilivyosoma heading nikajiuliza inakuwaje mtu kuwa kipofu na kuweza kubrowse na ku-type vizuri ,ingawa inawezakana ila nilitaka nijue zaidi
mburula wawili wenye akili sawa.hongereniMkuu kilichokuwa kichwani kwako ni sawa na kilichokuwa kwangu
mburula wawili wenye akili sawa.hongereni
Heading yako na vilivyomo ndani haviendani!!!