Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,472
- 6,513
Kama una namna ya kumsaidia ili aweze kujiajiri msaidie.Sikupi pole wala faraja yoyote huna akili kabisa wewe!!! Hivi unawezaje kujitolea kijana shupavu mwenye degree ya sayansi umeshindwa kujiajiri kazi na fursa Zipo nyingi nchi yetu Tanzania
Walimu hivi huwa mnarogwa au mnakufa mnakuwa misukule?? Kamshahara ambacho hakana hata posho, msoto wanaopata walimu na wewe unataka?? Ahsee nikushauri kitu bora ukafanya mambo yako hujachelewa maana kule wanaenda walokata Tamaa ya maisha, waliojawa laana hata shetani hawataki Wala Mungu hawataki na wananchi hatuwataki majizi ya kura siku za uchaguzi ndomaana hayaendelei