Acha ujinga dogo.
Anyway.Bwana mudogo usiishi kwa kuangalia watu ishi kwa kujiamini. Wewe kama Wewe. Usiruhusu kabisa kufanya jambo kwa kuwadhirisha watu.Do what is best for you before its too late.Kupitwa na rika lako sio ishu.Ishu ni kupata kitu sahihi bila kujali wakati gani.
Rudi chekechea hao wazuri zaidiMimi ni kijana wa umri wa miaka 20 nilimaliza form four 2013 namshukuru mungu nilifaulu na kupata division one.
Nilipokuwa naanza form 5 quarter ya kwanza shuleni nilisumbuliwa na magonjwa fulani ambayo yaliniweka nje muda mrefu na ikabidi nipostpone mwaka wa masomo ili nipate matibabu kikamilifu hivyo mwezi huu wa saba ndio inabidi niaanze upya form 5...
Sasa tatizo langu ni kwamba napata depression kuona wenzangu wameniacha pia kwenda kusoma na watoto ambao nimewazidi miaka 2-3, pia napata mashaka kuona ntamaliza chuo na umri mkubwa wa miaka 25 ukilinganisha na wengine watamaliza na 22-23, naomba ushauri tafadhali!!!
Rudi chekechea hao wazuri zaidi
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 20 nilimaliza form four 2013 namshukuru mungu nilifaulu na kupata division one.
Nilipokuwa naanza form 5 quarter ya kwanza shuleni nilisumbuliwa na magonjwa fulani ambayo yaliniweka nje muda mrefu na ikabidi nipostpone mwaka wa masomo ili nipate matibabu kikamilifu hivyo mwezi huu wa saba ndio inabidi niaanze upya form 5...
Sasa tatizo langu ni kwamba napata depression kuona wenzangu wameniacha pia kwenda kusoma na watoto ambao nimewazidi miaka 2-3, pia napata mashaka kuona ntamaliza chuo na umri mkubwa wa miaka 25 ukilinganisha na wengine watamaliza na 22-23, naomba ushauri tafadhali!!!
Soma acha mawazo ya kitoto wewe.