Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
kuhusu mimi
Mimi ni software Engineer ambae pia huw nina participate kwenye global hackathons Mwezi Jauary nimeshiriki kwenye hackathon amabapo team yangu imekuwa miongoni mwa team 3 zilizo chaguliwa kweye fainalist
kuhusu safari
Hii itakuwa event ya siku moja amabapo lengo kuu ni ku network lakini pia ku pitch projects zetu itakuwa tareh 21 march.
Jana nimefika Dar nimeanza kushughulikia pass ambapo nimeambiwa nirejee tarehe 14 (naona kama inachukua muda mrefu) lakini pia nataka kujua kutoka kwenu hivi kuomba visa iaweza chukua muda gan?
Vipi kuhusu bank ipi bank mnani suggest nifungue kwa ajili ya ku deposit pesa ya matumiziiii
Naombeni ushauri wenu na uzoefu juu ya hayo maswala visa bank and pass.
kuhusu mimi
Mimi ni software Engineer ambae pia huw nina participate kwenye global hackathons Mwezi Jauary nimeshiriki kwenye hackathon amabapo team yangu imekuwa miongoni mwa team 3 zilizo chaguliwa kweye fainalist
kuhusu safari
Hii itakuwa event ya siku moja amabapo lengo kuu ni ku network lakini pia ku pitch projects zetu itakuwa tareh 21 march.
Jana nimefika Dar nimeanza kushughulikia pass ambapo nimeambiwa nirejee tarehe 14 (naona kama inachukua muda mrefu) lakini pia nataka kujua kutoka kwenu hivi kuomba visa iaweza chukua muda gan?
Vipi kuhusu bank ipi bank mnani suggest nifungue kwa ajili ya ku deposit pesa ya matumiziiii
Naombeni ushauri wenu na uzoefu juu ya hayo maswala visa bank and pass.