Nimepata mwanamke aliyenizidi umri

Nimepata mwanamke aliyenizidi umri

Jiangalie wanawake wanacopy kwa haraka mazingira kwa maana kwamba hata biblia imesema tuishi nao kwa akili kwa hiyo anaweza kukuzidi ufahamu muombe mungu awe na tabia njema lakini akibadilika atakutia hasara ambayo utaamua kujitoa uhai usipo pata ushauri mzuri.Kwa sasa najua ni jua la asubuhi ikifika mchana balaa litaanza mzee jipange sawasaw
 
Nimependana na mwanamke ambaye amenizidi kama miaka mitatu ivi

Mimi nina miaka 25 yeye ana miaka 29.

Ila tunapendana drop your comments please.

Hamna tatizo ila muonekano una matter sana. Cz isije ikawa ukisimama nae mbele za watu yeye anaonekana bibi well thats if unataka kua nae serious. Kama ana muonekano wa uzee kushinda ww hii kitu ita kill confidence yenu na mapenzi kwa ujumla. Kama ana muonekano wa kidada/binti na kuonyesha we umemzidi sina tatzo na hilo. We endelea nae unless kama unataka kugegeda na kusepa. All in all its u to decide.
 
tofauti ya miaka costant iwe ip

Mtizamo wangu; mke awe mdogo kwa mumewe, coz hata Adam aliumbwa kabla ya Hawa. Miili yenu inazeeka haraka..sasa imagine wewe umzidi mme wako miaka mitano, ukifika hamsini mume bado mbichi kabisa...
 
Nimependana na mwanamke ambaye amenizidi kama miaka mitatu ivi

Mimi nina miaka 25 yeye ana miaka 29.

Ila tunapendana drop your comments please.

Hesabu za kutoa tatizo nini? Tofauti ni miaka 4.
 
Nalipendaje hi li jukwaaaaa??/ sijapita huku kitambo natoaje macho?? Hot topics, khaaaa! gfsonwin mekumiss ujue! Uje kesho tutoke tuyatafakari na haya ya walimwengu!
 
Last edited by a moderator:
Hebu jiulize anaetakiwa kuwahi kuzeeka katka familia ni baba au mama?Ukipata jibu sawazisha polepole.
 
Kwenye LOVE mambo ya AGE, HEIGHT, WEIGHT or DISTANCE are just numbers bro....
 
Mtizamo wangu; mke awe mdogo kwa mumewe, coz hata Adam aliumbwa kabla ya Hawa. Miili yenu inazeeka haraka..sasa imagine wewe umzidi mme wako miaka mitano, ukifika hamsini mume bado mbichi kabisa...

ila asizid mingi sasa duuu atakuwa mbabu
 
Back
Top Bottom