pleo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 3,362
- 2,501
baada ya miaka 10, utaonekana kana kwamba una miaka 50. Kwani kwenye mahusiano watu hufanana na mke wa miaka 40 anafanana na mme wa miaka 50.Nimependana na mwanamke ambaye amenizidi kama miaka mitatu ivi, mi miaka 25 ye miaka 29... Ila tunapendana drop your comment plz!