Nakushauri mkiwa na Baby hakikisha PICHA isiwe utamaduni wenu..usipendelee sanaaa kupiga piga mapicha maana IPO siku picha yako mwenyewe utakua unaiogopa.
Tunamaanisha mdada na hatuna utani kwenye hili hususani mimi sipendi ujinga ujinga kabisa. Na nakemea vikali wanaume wote wa humu wanaotania tania wanawake warembo kama wewe.
Tunamaanisha mdada na hatuna utani kwenye hili hususani mimi sipendi ujinga ujinga kabisa. Na nakemea vikali wanaume wote wa humu wanaotania tania wanawake warembo kama wewe.
Nakushauri mkiwa na Baby hakikisha PICHA isiwe utamaduni wenu..usipendelee sanaaa kupiga piga mapicha maana IPO siku picha yako mwenyewe utakua unaiogopa.
Ohooo samaki mwingine huyu amekutana na baharia ,tumpe mwezi tu atarudi hapa analialia na hizo ngonjera zake zote zitakuwa vice versa.
Mambo mengine mtuulize sisi kwanza tuwape experience.