on a serious note kabisa kama Elly alivyosema nakazia poteza contacts zote za wana jf usiseme chochote kwa mtu yoyote sijui ana gari zuri anaishi pazuri atanyakuliwa usiamini
Na yeye pia I hope ni mtu anajielewa hana magroup huko watsap ya watu wa jf
Tembeeni safari yenu wawili kuna wakati mgumu mtapitia usithubutu kumsimulia mtu wa humu