Nimepata mfadhaiko ndani ya daladala

Nimepata mfadhaiko ndani ya daladala

Idhae

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
609
Reaction score
277
Wakati jana narudi nyumbani toka town nilipanda daladala lkn sikupata siti. Wale tuliosimama hatukuwa tumebanana.
Dada mmoja mweupe mzuri kwa sura na mwenye makalio makubwa kiasi kakandamiza makalio yake kwenye dushe langu, likashtuka likaanza kuamka. Nilidhan bahati mbaya, nikasogea nyuma mara baada ya dakika moja hivi kakandamiza tena makalio yake kwenye dushe langu. Kusema kweli safari hii dushe ilisimama at maximum na alimanusura wazungu watoke.

Yule dada alishuka kabla yangu, yaani nilihisi aibu kwani nilihisi kama baadhi ya watu wameona jinsi suruali yangu ya kitambaa ilivyotuna.

Sasa najiuliza, huyu dada ni makusudi au bahati mbaya?

Ushauri kwenu wadada
Mkipanda daladala zilizojaa jitahidini kuepuka kukandamiza makalio yenu kwenye eneo nyeti la mwanaume wengine mnatuumiza jamani
 
We chizi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
mtu ambaye dushe halijawahi kusimama siku likisimama lazima awataarifu mjue
 
Una udhaifu sana na makalio makubwa plus rangi nyeupe.

tafuta mrembo wa sifa hizo, vinginevyo kichapo cha mbwa mwizi kiko karibu.
 
Wote halo juu hamjampa ushaur mzuri. Ni hali ya kihisia zaidi...mawazo yako yalimtamani huyo Dada. Wakat mwingine jaribu kupuuzia kwa kuwaza jambo linalokutatiza ni dawa ya hawa wanawake wachokozi.
 
hapo aliposhuka kulikua na guest karibu, so akadhani labda ungemfata nyuma mshuke wote umwambie mkamalizane
 
Wenzako mbo.o wanaiba na kwenye mkanda ila unaonekana una kipururu hatar
 
Ni majaribu tu....ila mkuu angalia siku nyingine unaweza ukaibika
 
Kuna wadada wengine wako so absent minded labda hakujua?

Au ndo alitamani japo kuugusagusa tu muhogo wa Jang'ombe?

Hapo ndo unaona kwa nini sehemu.nyingine uarabuni huko wanawake wanatenganishwa na wanaume.

The concern is real enough.
 
najaribu kuvuta picha hiyo moment namna ulivyojikunyata...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom