Katika Kazi ya Mwanzo na hii mpya wapi kuna maslahi Zaidi?Ni kwambia katika kazi aliyo pata mwanzoni kuli kuwa na posho, ila Sasa hivi hazipo na hapewi response yoyote kutoka kwa mabosi.
Japo kazi Ina mshahara mzuri, ila kukosa posho ndio kuna mchangaya!
kazi mpya haja weka wazi, ila kasema kazi mpya Ina shawishiKatika Kazi ya Mwanzo na hii mpya wapi kuna maslahi Zaidi?
Anafanya Kazi ili apate hela,ajitose kwenye Kazi mpya!!kazi mpya haja weka wazi, ila kasema kazi mpya Ina shawishi
Yap ita kuwa 40k kwa siku, ila mabosi wame mkalia kimya kuhusu posho. Ghafla deal mpya Ina kuja.Anafanya Kazi ili apate hela,ajitose kwenye Kazi mpya!!
Nimeona ameandika 40k alimaanisha analipwa elfu arobaini?
Kama 40k Kwa siku basi akomae tu hapo hapo mbona wanamlipa vizuri tu,tamaa isije ikamponza!!Yap ita kuwa 40k kwa siku, ila mabosi wame mkalia kimya kuhusu posho. Ghafla deal mpya Ina kuja.
Nahifia usije kuwa mtego aka poteza deal hili la zamani
wazo zuriKama 40k Kwa siku basi akomae tu hapo hapo mbona wanamlipa vizuri tu,tamaa isije ikamponza!!