kaisar19
JF-Expert Member
- May 24, 2021
- 228
- 391
Habari wakuu
Naomba ushauri na mwongozo
Mimi ni kijana umri 25_27 nimepata ajira kwenye kampuni flani hapa bongo ya kisafirisha mizigo nikiwa kama BM wa mkoa flani mshahara ni mnono kiasi fulani nilipo anza kazi feb mwaka huu allowance ilikua inatoka kila wiki lakini kwa sasa sipokei hata thumni mambosi awapokei cm zangu hawasemi shida nini mimi
Nafanya majukum yangu kama kawaida. Changamoto ramadhan ndo hiyooo ipo kileleni sina maandalizi yoyote ya sikukuu kwa familia yanguu leo nimepokea maombi ya kampuni flani kuwa wanataka huduma yangu niachane na hii kampuni mshahara wa kuanzia ni 40k allowance kila wiki ni 5k nifanye maamuzi gani. 🙏🙏🙏
Naomba ushauri na mwongozo
Mimi ni kijana umri 25_27 nimepata ajira kwenye kampuni flani hapa bongo ya kisafirisha mizigo nikiwa kama BM wa mkoa flani mshahara ni mnono kiasi fulani nilipo anza kazi feb mwaka huu allowance ilikua inatoka kila wiki lakini kwa sasa sipokei hata thumni mambosi awapokei cm zangu hawasemi shida nini mimi
Nafanya majukum yangu kama kawaida. Changamoto ramadhan ndo hiyooo ipo kileleni sina maandalizi yoyote ya sikukuu kwa familia yanguu leo nimepokea maombi ya kampuni flani kuwa wanataka huduma yangu niachane na hii kampuni mshahara wa kuanzia ni 40k allowance kila wiki ni 5k nifanye maamuzi gani. 🙏🙏🙏