Of course, Dodoma inakuwa sana.
Na sasa hivi serikali ipo huko.
Bahati nzuri, Dodoma kulikuwa na CDA enzi hizo, walijitahidi sana kupima ardhi,.maeneo mengi yameepimwa.
Ila wakati Niko huko kulikuwa na kesi Mahakamani kama 1,000 za ardhi Kati ya Wananchi na CDA.