Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
Sio kosa lako bali ni jinsi ulivyo wewe kumbuka kuwa kila mtu unataka afikiri unavyotaka wewe!!! Utaja mlazimisha hata mpenzi/hawala /mkeo/mmeo kufuata yako hata yawe ya hovyo!
Tuna tatizo kbwa sana nchini la watu wanaoweza kufikiri vizuri na haya ndio matokeo ya tatizo hilo ...!!