peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,775
- 21,335
Mimi ni muumini wa haki .
Ninashauri mlezi wa ccm mkoa wa kilimanjaro kupiga kambi jimbo la Hai huko Kilimanharo kwani uchaguzi mkuu wa ccm uliofanyika huko haukuwa huru wala wenye haki.
Jimbo limegawanyika na wanachama wa ccm wamepoteza uelekeo uliosababishwa na mbunge wa jimbo hilo la kutska kupanga safu ya kuelekea 2025.
Pamoja na yote yaliyotokea hatua muhimu na za haraka zinahitajika ikiwa ni pamoja na :
1. Kufutwa kwa uchaguzi huo mkuu
2. Kuondolewa kazini kwa katibu wa ccm wilaya
2. Kuhamishwa kituo cha kazi kstibu wa UWT wilaya hiyo
3. Madiwani wa viti maalum kutokuruhusiwa kugombea tena kwa kusababisha wizi wa kura na vurugu za uchaguzi mkuu
4. Mbunge kupigwa marufuku kujihusisha na shughuli za uchaguzi wa chama wa marudio
5. Katibu wa vijana na wazazibwilaya kupangiwa vituo vingine vya kazi
6. Uongozi wa ccm mkoa kusimsmua zoezi la upigaji kura na shughuli zote za upigaji kura
7. Wagombea walioshinda na kushindwa kwenye uchaguxi huo kuhojiwa na kupata maoni yao.
Mama samia anataka haki itumike kinyume na alichokifanya mbunge wa Hai kubaka uchaguzi mkuu wa chsma na kukivuruga chama.
Ninashauri mlezi wa ccm mkoa wa kilimanjaro kupiga kambi jimbo la Hai huko Kilimanharo kwani uchaguzi mkuu wa ccm uliofanyika huko haukuwa huru wala wenye haki.
Jimbo limegawanyika na wanachama wa ccm wamepoteza uelekeo uliosababishwa na mbunge wa jimbo hilo la kutska kupanga safu ya kuelekea 2025.
Pamoja na yote yaliyotokea hatua muhimu na za haraka zinahitajika ikiwa ni pamoja na :
1. Kufutwa kwa uchaguzi huo mkuu
2. Kuondolewa kazini kwa katibu wa ccm wilaya
2. Kuhamishwa kituo cha kazi kstibu wa UWT wilaya hiyo
3. Madiwani wa viti maalum kutokuruhusiwa kugombea tena kwa kusababisha wizi wa kura na vurugu za uchaguzi mkuu
4. Mbunge kupigwa marufuku kujihusisha na shughuli za uchaguzi wa chama wa marudio
5. Katibu wa vijana na wazazibwilaya kupangiwa vituo vingine vya kazi
6. Uongozi wa ccm mkoa kusimsmua zoezi la upigaji kura na shughuli zote za upigaji kura
7. Wagombea walioshinda na kushindwa kwenye uchaguxi huo kuhojiwa na kupata maoni yao.
Mama samia anataka haki itumike kinyume na alichokifanya mbunge wa Hai kubaka uchaguzi mkuu wa chsma na kukivuruga chama.