Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,773
- 40,444
😂😂
Aaah ule upepo kuanzia mwezi wa 12 hadi wa kwanza ilinibidi nipumzike.
😂😂
Hayupo Vizuri kimawasiliano na pia hapendi kuambiwa ukweli na vitu vingi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Una miaka mi ngapii kwa sasa.Wakuu Habari!!
Kuna Msichana mmoja nipo nae kwa mahusiano sema Kuna faulo moja nimefanya ya kumuonyesha nampenda sana na hii naona inapelekea kunidharau na kuniona si kitu mbele yake nimekuja hapa kuuliza jambo gani ninaweza kufanya ili turudi kama awali maana naona kama Ana dharau sana nowadays
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayupo Vizuri kimawasiliano na pia hapendi kuambiwa ukweli na vitu vingi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kiingereza siyo chetu!May be she has decided to shiw who she truly is...
Sasa ni juu yako kumeza au kutema...
Hapo ni typo tu kwenye 'shiw' alikusudia kuandika 'show'. Mbona kiingereza safi tuKweli kiingereza siyo chetu!
Una kadi ya CCm ?Wakuu Habari!!
Kuna Msichana mmoja nipo nae kwa mahusiano sema Kuna faulo moja nimefanya ya kumuonyesha nampenda sana na hii naona inapelekea kunidharau na kuniona si kitu mbele yake nimekuja hapa kuuliza jambo gani ninaweza kufanya ili turudi kama awali maana naona kama Ana dharau sana nowadays
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu Habari!!
Kuna Msichana mmoja nipo nae kwa mahusiano sema Kuna faulo moja nimefanya ya kumuonyesha nampenda sana na hii naona inapelekea kunidharau na kuniona si kitu mbele yake nimekuja hapa kuuliza jambo gani ninaweza kufanya ili turudi kama awali maana naona kama Ana dharau sana nowadays
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata "vibodi vya simu" sio vyetu mkuuKweli kiingereza siyo chetu!
Onyesha kutomjali Kama mwanzo kuwa busy na mambo yako then utaona reaction yake , Kama vipi achana nae !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa viumbe Wana changamoto Sana
Kuna kiumbe mmoja nilikuwa nampenda Sana nikawa namhudumia kila kitu yaani hadi ped nilikuwa namnunulia Lakin from nowhere akaamua kusema hana future na mm niliumia Sana Lakin nikamwambia haina shida
Now niko nafanya mambo yangu sina hata mawazo nae tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Good endelea hivyo hivyo ,Life is too short Kukaa kubembeleza mtu wakati huo yy hakuthamini .