Nimeonesha kumpenda ananidharau

Nimeonesha kumpenda ananidharau

Makini Sana

Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
28
Reaction score
14
Wakuu Habari!!


Kuna Msichana mmoja nipo nae kwa mahusiano sema Kuna faulo moja nimefanya ya kumuonyesha nampenda sana na hii naona inapelekea kunidharau na kuniona si kitu mbele yake nimekuja hapa kuuliza jambo gani ninaweza kufanya ili turudi kama awali maana naona kama Ana dharau sana nowadays

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu unalo tayari. Umemuonyesha unampenda sana.
Hawa wenzetu wana error kwenye fikra zao ni kwamba ukimpenda sana unaonekana weak...
Yea sisemi usimpende. Mpende lakin sasa usijionyeshe sana be a man.. usiongozwe naye.. muongoze yeye hata kibabe.
Wakuu Habari!!


Kuna Msichana mmoja nipo nae kwa mahusiano sema Kuna faulo moja nimefanya ya kumuonyesha nampenda sana na hii naona inapelekea kunidharau na kuniona si kitu mbele yake nimekuja hapa kuuliza jambo gani ninaweza kufanya ili turudi kama awali maana naona kama Ana dharau sana nowadays

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom