Usinunue zaidi ya umeme wa sh, 3000/-Kwani unatakiwa ununue wa shingp ndo wasikuondoe
Hii 0 tarrif imetengenezewa mazingira ya kuwanyanyasa walaji, kwanini wanaweka visheria vya kikandamizaji namna hiyo kwa watu masikini!!
Ningekuwa MD wa hilo shirika ninge automate huo mfumo ufanye wenyewe kila kitu, ni suala la kuweka condition tu kama ikizidi kiasi X kwa mtu wa tariff Y mfumo usipokee fedha au upokee fedha na kupeleka salio lililozidi mwezi wa mbele lakini wanatumia umasikini wa waTz kuwahangaisha na vimasherti vya kijingakijinga visivyo na maana
Sasa si uende Tariff 1, ambako hakuna masharti?Hii 0 tarrif imetengenezewa mazingira ya kuwanyanyasa walaji, kwanini wanaweka visheria vya kikandamizaji namna hiyo kwa watu masikini!!
Ningekuwa MD wa hilo shirika ninge automate huo mfumo ufanye wenyewe kila kitu, ni suala la kuweka condition tu kama ikizidi kiasi X kwa mtu wa tariff Y mfumo usipokee fedha au upokee fedha na kupeleka salio lililozidi mwezi wa mbele lakini wanatumia umasikini wa waTz kuwahangaisha na vimasherti vya kijingakijinga visivyo na maana
Kwani wanashindwa nini kuwa accommodate watu wa makundi yote?Sasa si uende Tariff 1,ambako hakuna masharti?
Jana walikata na kuwasha umeme mfululizo kama mara 3. Waliporudisha mara ya mwisho line moja yenye nyumba kama 5 ilikuwa haina umeme. Kupigiwa simu hotline yao, jamaa wakaja lakini wakasema wapewe hela ya mafuta ndio warekebishe.TANESCO..... Tunatangaza maisha yako
Karibu tukuhudumie ukiwa na "kitu kidogo" mkononi...
Mkuu Watanzania wengi wanatumia umeme chini ya unit 75 kimsingi wanapaswa kulipa 9150 (buku 9) ila kutokana na teknolojia ya LUKU ni pre-paid ni ngumu kutambua nani ni mtumiaji mdogo na nani mtumiaji mkubwa na ndio maana unakwenda TANESCO wanai-set mita ila baada ya ku-review matumizi yako ya miezi 6.Enzi za mita ilikuwa simple msoma mita akisoma akakuta hukuzidi 75 unit bill inakua chini ya mwekundu ila ikizidi 75 tu bill inaanzia 27,000.Kimsingi anaetumia umeme wa 25,000 kushuka chini anapaswa kuwepo tarriff 0 ila TANESCO wana discourage wanajua hawapigi ela, just imagine 75unit kwa 9150 per monthSasa si uende Tariff 1,ambako hakuna masharti?
Hawakuondoi mara moja mpaka miezi mitatu kwa matazamio. Hata kama wamekupa umeme kidogo sasa. Mwezi ujao ukitupia elfu 9 watarudishaSababu za kuondolewa ni kununua umeme wa elfu 10 ili itakapokatwa kodi ya makazi ibaki elf 9 ndo iwe malipo ya umeme. Sijui hata nifanyeje jamani maskini mimi