grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 4,014
- 5,662
KeywordsMegawatts za umeme ambazo anatumia raia wa marekani kwa mwaka mmoja ni sawa na megawatts anazotumia mtanzania kwa miaka kumi
-Rais wa marekani
-Mtanzania
KeywordsMegawatts za umeme ambazo anatumia raia wa marekani kwa mwaka mmoja ni sawa na megawatts anazotumia mtanzania kwa miaka kumi
Haiitwi tarrif zero Ni Tarrif 4Sababu za kuondolewa ni kununua umeme wa elfu 10 ili itakapokatwa kodi ya makazi ibaki elf 9 ndo iwe malipo ya umeme. Sijui hata nifanyeje jamani maskini mimi
Kwa hiyo usipozidisha unit 75 huku unaweka wa 20k hawakupi?Utatakiwa kukaa ndani ya miezi mitatu ukitumia umeme usiozidi units 75 kwa kila mwezi, baada ya hapo utaenda kwenye ofisi za tanesco tawi lililokaribu yako, utaomba kukurudisha tena kwenye tarrif zero.
AHSANTE
Usinunue zaidi ya umeme wa sh, 3000/-
usizidishe unit 75 per month
Mifumo y kizamani sanaa yana... Yani yakipuuzi... Inatakiwa wangepima kiwango cha units unazotumia sio unit unazo nunuaSababu za kuondolewa ni kununua umeme wa elfu 10 ili itakapokatwa kodi ya makazi ibaki elf 9 ndo iwe malipo ya umeme. Sijui hata nifanyeje jamani maskini mimi
Tafuta pesa. Ukipenda bure utaolewa kila siku na kila mtu hapa mjiniSababu za kuondolewa ni kununua umeme wa elfu 10 ili itakapokatwa kodi ya makazi ibaki elf 9 ndo iwe malipo ya umeme. Sijui hata nifanyeje jamani maskini mimi
Mfano nikitumia chini ya unit 69?hmm, hapana hakuna mita inayosetiwa, wana monitor matumizi yako PALE unaponunua umeme
ndiyo maana wanaweza kukuchomoa kwenye T0 ( au kukurudisha ) hukohuko uliko
kuna nyumba naijua wako kwenye T0 , tena ni ya wapangaji, wanachofanya ni kwamba, 69 zikiisha njiani, wanalala giza siku zilizobaki mpaka mwezi utimie ( siku 30 wanaongeza na siku 1 ) ndiyo WANANUNUA tena, unaona kiuhalisia hawa matumizi yao siyo 69 kwa mwezi
kama unaishi mjini, sahaukupata hiyo tarrif 0
Kuna jamaa kawapoza wakamrudishakama unaishi mjini, sahau
fata nyayo za huyo jamaa fastaKuna jamaa kawapoza wakamrudisha
Mi sipo mjini ila nilishawafata wakanizungusha, na natumia maximum unit 45 kwa mwezifata nyayo za huyo jamaa fasta
ila kiutaratibu ukiwa mjini, ukichomoka, kurudi hiyo tariff sahau
PointUnatumia unit chini ya 75 kwa mwezi? Unakaa Ghetto? Huna familia? Huna matumizi ya umeme ni bora ununue solar tu uwashe taa mbili ,upige subufa na kuchaji simu.