Nimeona ajabu kwa mke wangu

Nimeona ajabu kwa mke wangu

MANKWI G

Member
Joined
May 15, 2015
Posts
27
Reaction score
3
Wakuu habari zenu,

Kama tittle ilivyo, nina mke mwaka wa pili sasa na tuna mtoto mmoja aliye na mwaka, tatizo lilinikumba ni kuwa mke wangu amewahi kutoa mimba mara mbili jambo ambalo limenichanganya sana.

Naombeni ushauri kwenu nifanyeje kati ya haya? Nipotezee, nimwambie au mtose kimyakimya?
 
Dogo mbona hueleweki? Sasa kama ni mkeo na tiyari mna mtoto mengine unachokonoa ya nn? Mpaka anakuwa mkeo unamaana ulikubali yote so uitaji kujua yaliyo pita. Au sijakuelewa.

Subiri waje wapo wanampigia kura d'jaro arungu kura kwa kutuma TZW1C kwenda 15678 na kukipigia kipind cha papaso tuma TZW2D kwenda 15678

kumbuka mwisho wa kupiga kura kesho.
 
kwani wewe umeshauri wanawake wangapi watoe mimba ?
 
Unamaanisha "unamwanamke" au "mke"?! Hizo mimba alizotoa ni zako au za akina nani?! Na umegunduaje bila yeye kukiri?!
 
Ndo ushaingia ndani oga hivyo hivyo msamehe pia muendeleze maisha, maisha bila msamaha hayaendi.....
Ingawa mie nisingekubali mimba tena mara mbili na si zangu
 
wakuu habari zenu! kama tittle ilivo, nina mke mwaka wa pili sasa na tuna mtoto mmoja aliye na mwaka, tathzo lilinikumba ni kuwa mke wangu amewawi kutoa mimba mara mbili jambo ambalo limenichanganya sana. naomben ushauri kwenu nifanyeje kati ya haya? nipotezee, nimwambie au mtose kimyakimya?

historia yake ya nyuma inakuchanganyaje sasa?
 
Kama alizitoa kabla hujawa naye tatizo ni lipi? Potezea banaaa na huyo aliyekupa hizo info hawatakii mema kwenye ndoa yenu.
 
Ndo ushaingia ndani oga hivyo hivyo msamehe pia muendeleze maisha, maisha bila msamaha hayaendi.....
Ingawa mie nisingekubali mimba tena mara mbili na si zangu
hahahahaha sasa mkuu unamshauri jamaa asamehe wakati huohuo unamtia ndimu na pilipili?
 
wakuu habari zenu! kama tittle ilivo, nina mke mwaka wa pili sasa na tuna mtoto mmoja aliye na mwaka, tathzo lilinikumba ni kuwa mke wangu amewawi kutoa mimba mara mbili jambo ambalo limenichanganya sana. naomben ushauri kwenu nifanyeje kati ya haya? nipotezee, nimwambie au mtose kimyakimya?

Kwahio kinachokuumiza kichwa ni kuwa kuna wajanja wamepiga mpaka wamemjaza Mara mbili?!! Ndio ukubwa huo vumilia tu.
 
utampotezeaje mkeo kimya kimya? au mke mwenyewe ni wa kusogezana geto baada ya kukutana kwenye mishemishe?
 
Yaliyopita si ndwele ganga yajayo huyo mkeo usiwasikilize wajaza upepo
 
Hehehehe haloooo he kwani we alikukuta bikra wakiume au? Ukisikia wivu wakijinga ndohuo kwanza mwanaume alie timia hawezi kukubali aletewe umbea wamke wake huko nikuivunja ndoa itaacha wangapi
 
Hehehehe haloooo he kwani we alikukuta bikra wakiume au? Ukisikia wivu wakijinga ndohuo kwanza mwanaume alie timia hawezi kukubali aletewe umbea wamke wake huko nikuivunja ndoa itaacha wangapi

duu! makubwa sana haya. umbea huo ni hatari japo nimeona kwenye kadafutali kakumbukumbu zake mke
 
Unamuamini sana aliekupatia hiyo taarifa?

Wewe umesha wapatia wasichana wangapi mimba na kuwashauri wakatoe?
 
Unamuamini sana aliekupatia hiyo taarifa?

Wewe umesha wapatia wasichana wangapi mimba na kuwashauri wakatoe?

mkuu taarifa nimeona mwenyewe kwenye taarifa zake ndani mwetu zna hadi tarehe za matukio. bahati mbaya bnti niliyempa mimba ni yeye na nikaamua kumuoa kwa kufuata misingi ya ndoa.
 
mkuu taarifa nimeona mwenyewe kwenye taarifa zake ndani mwetu zna hadi tarehe za matukio. bahati mbaya bnti niliyempa mimba ni yeye na nikaamua kumuoa kwa kufuata misingi ya ndoa.

Kama ni mambo ya nyuma kabla hamjaoana hayo hayana mashiko.
 
Back
Top Bottom