Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,671
- 11,338
Umeshasema mke tayari wewe songa nae mbele tu kama mimba alizitoa kabla ya kumwoa wewe inakuhusu nini, unless kama ungekuwa hujamwoa hapo sawa unaweza ukawa unaogopa labda hazikutolewa kwa usalama. Wewe umeiga kitu kimeingia na mtoto juu alafu unajiuliza mistake za nyuma alizofanya, wakati mwingine design ya mke wako wanakuwa wazuri kwa kuwa tayari wana ile hali kujuta na atakusaidia watoto waspitie katika ile hali aliyopitia yeye