mitorowindo
Senior Member
- Apr 5, 2017
- 163
- 88
Ni wapi majaliwa alipiga bakola walimu?
Heshima kwenu wakuu,
Kwakweli hata mimi naanza kuliona ombwe la Uongozi Tanzania.
Bado naamini rais hamanishi anachokisema juu ya sifa anazompa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kwamba anafanya kazi vizuri. Hili ndo Tatizo la kuchanganya kazi za kisiasa na Kazi za Serikali.
Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba ambaye ni Waziri wa Mambo ya ndani katika nchi zinazofuata utawala wa Sheria alitakiwa awe amejiuzulu na kufunguliwa mashitaka kwa matumizi mabaya ya Ofisi.
Namlaumu Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kwa sababu hizi;
1. Anashiriki kwenye Kampeni za CCM na kutumia kofia yake kuwaminya vyama vya Upinzani. Uchaguzi mdogo ulopita watu walilalamikia jeshi la Polisi kuminya Demokrasia, na Mwigulu ndo analiongoza Jeshi la Polisi. Usalama wa raia upo chini yake. Hivyo vyombo vya chini vinaweza kufanya mambo yasiyofaa kumfurahisha boss.
2. Mauaji ya Kibiti aliwatuhumu vyama pinzani wa CCM kama ndo wanahusika. Alikuwa anasema kwanini wauawe wa CCM tu? Hapo anaongea hivyo Polisi wapo. Kilichoendelea wote wanajua.
3. Watu waliokotwa kwenye Viroba huko Ruvu na kuzikwa huko huko, hakuna alichokiongelea wala kuonesha kusikitika.
4. Watu wanaokotwa baharini lakini hatoi ripoti wala Kukemea hii hali
5. Ben Saanane amepotea yeye yupo tu Ofisini
6. Mwandishi wa habari wa Mwananchi kapotea lakini Mwigulu haoneshi hata haja ya kumtafuta.
7. Tukio la Lissu Kila Mtu anajua.
Swali langu, Je, Rais anapomsifia Waziri wa Mambo ya ndani Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba sisi Wananchi tueleweje?
Kuna watu wa Kusifia kama Lukuvi, Mbarawa, Jafo, Waziri Mkuu n.k.
Kumsifia Mwigulu ni kuipaka Matope Tanzania.
Mwigulu kama anashindwa kujiuzulu kwa matukio haya, anapaswa atenguliwe achaguliwe Waziri Mwingine.
Leo Rais Magufuli amempongeza Waziri Mwigulu Nchemba Idara ya Uhamiaji kwa kufanikisha mradi wa mfumo mpya wa Pasipoti za Kielektroniki.
Mungu tusaidie.
Watanzania tuendelee kuiombea Serikali yetu isije ikanuka damu. Sababu damu ya binadamu haiendi bure, inakufuata hadi kizazi chako.
Naamini unamnukuu Askofu Kakobe.Hivi alisema nani atubu kwa sababu kavaa hirizi?NCHEMBA ANAPIGA KAZI, tena hashoboki. Huwezi ona hili kama umevaa hirizi kiunoni.
Wewe sasandiyo unaingiza siasa hapa.Uliyoyataja yote hapo juu yalishatolewa ufafanuzi kwa kina unataka nini zaidi? au unataka roho ya mtu sasa? Usiingize hisia zako za kike wanaume wanapoongea....samahani kwa lugha kiumeHeshima kwenu wakuu,
Kwakweli hata mimi naanza kuliona ombwe la Uongozi Tanzania.
Bado naamini rais hamanishi anachokisema juu ya sifa anazompa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kwamba anafanya kazi vizuri. Hili ndo Tatizo la kuchanganya kazi za kisiasa na Kazi za Serikali.
Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba ambaye ni Waziri wa Mambo ya ndani katika nchi zinazofuata utawala wa Sheria alitakiwa awe amejiuzulu na kufunguliwa mashitaka kwa matumizi mabaya ya Ofisi.
Namlaumu Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kwa sababu hizi;
1. Anashiriki kwenye Kampeni za CCM na kutumia kofia yake kuwaminya vyama vya Upinzani. Uchaguzi mdogo ulopita watu walilalamikia jeshi la Polisi kuminya Demokrasia, na Mwigulu ndo analiongoza Jeshi la Polisi. Usalama wa raia upo chini yake. Hivyo vyombo vya chini vinaweza kufanya mambo yasiyofaa kumfurahisha boss.
2. Mauaji ya Kibiti aliwatuhumu vyama pinzani wa CCM kama ndo wanahusika. Alikuwa anasema kwanini wauawe wa CCM tu? Hapo anaongea hivyo Polisi wapo. Kilichoendelea wote wanajua.
3. Watu waliokotwa kwenye Viroba huko Ruvu na kuzikwa huko huko, hakuna alichokiongelea wala kuonesha kusikitika.
4. Watu wanaokotwa baharini lakini hatoi ripoti wala Kukemea hii hali
5. Ben Saanane amepotea yeye yupo tu Ofisini
6. Mwandishi wa habari wa Mwananchi kapotea lakini Mwigulu haoneshi hata haja ya kumtafuta.
7. Tukio la Lissu Kila Mtu anajua.
Swali langu, Je, Rais anapomsifia Waziri wa Mambo ya ndani Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba sisi Wananchi tueleweje?
Kuna watu wa Kusifia kama Lukuvi, Mbarawa, Jafo, Waziri Mkuu n.k.
Kumsifia Mwigulu ni kuipaka Matope Tanzania.
Mwigulu kama anashindwa kujiuzulu kwa matukio haya, anapaswa atenguliwe achaguliwe Waziri Mwingine.
Leo Rais Magufuli amempongeza Waziri Mwigulu Nchemba Idara ya Uhamiaji kwa kufanikisha mradi wa mfumo mpya wa Pasipoti za Kielektroniki.
Mungu tusaidie.
Watanzania tuendelee kuiombea Serikali yetu isije ikanuka damu. Sababu damu ya binadamu haiendi bure, inakufuata hadi kizazi chako.
Heshima kwenu wakuu,
Kwakweli hata mimi naanza kuliona ombwe la Uongozi Tanzania.
Bado naamini rais hamanishi anachokisema juu ya sifa anazompa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kwamba anafanya kazi vizuri. Hili ndo Tatizo la kuchanganya kazi za kisiasa na Kazi za Serikali.
Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba ambaye ni Waziri wa Mambo ya ndani katika nchi zinazofuata utawala wa Sheria alitakiwa awe amejiuzulu na kufunguliwa mashitaka kwa matumizi mabaya ya Ofisi.
Namlaumu Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kwa sababu hizi;
1. Anashiriki kwenye Kampeni za CCM na kutumia kofia yake kuwaminya vyama vya Upinzani. Uchaguzi mdogo ulopita watu walilalamikia jeshi la Polisi kuminya Demokrasia, na Mwigulu ndo analiongoza Jeshi la Polisi. Usalama wa raia upo chini yake. Hivyo vyombo vya chini vinaweza kufanya mambo yasiyofaa kumfurahisha boss.
2. Mauaji ya Kibiti aliwatuhumu vyama pinzani wa CCM kama ndo wanahusika. Alikuwa anasema kwanini wauawe wa CCM tu? Hapo anaongea hivyo Polisi wapo. Kilichoendelea wote wanajua.
3. Watu waliokotwa kwenye Viroba huko Ruvu na kuzikwa huko huko, hakuna alichokiongelea wala kuonesha kusikitika.
4. Watu wanaokotwa baharini lakini hatoi ripoti wala Kukemea hii hali
5. Ben Saanane amepotea yeye yupo tu Ofisini
6. Mwandishi wa habari wa Mwananchi kapotea lakini Mwigulu haoneshi hata haja ya kumtafuta.
7. Tukio la Lissu Kila Mtu anajua.
Swali langu, Je, Rais anapomsifia Waziri wa Mambo ya ndani Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba sisi Wananchi tueleweje?
Kuna watu wa Kusifia kama Lukuvi, Mbarawa, Jafo, Waziri Mkuu n.k.
Kumsifia Mwigulu ni kuipaka Matope Tanzania.
Mwigulu kama anashindwa kujiuzulu kwa matukio haya, anapaswa atenguliwe achaguliwe Waziri Mwingine.
Leo Rais Magufuli amempongeza Waziri Mwigulu Nchemba Idara ya Uhamiaji kwa kufanikisha mradi wa mfumo mpya wa Pasipoti za Kielektroniki.
Mungu tusaidie.
Watanzania tuendelee kuiombea Serikali yetu isije ikanuka damu. Sababu damu ya binadamu haiendi bure, inakufuata hadi kizazi chako.
Heshima kwenu wakuu,
Kwakweli hata mimi naanza kuliona ombwe la Uongozi Tanzania.
Bado naamini rais hamanishi anachokisema juu ya sifa anazompa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kwamba anafanya kazi vizuri. Hili ndo Tatizo la kuchanganya kazi za kisiasa na Kazi za Serikali.
Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba ambaye ni Waziri wa Mambo ya ndani katika nchi zinazofuata utawala wa Sheria alitakiwa awe amejiuzulu na kufunguliwa mashitaka kwa matumizi mabaya ya Ofisi.
Namlaumu Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kwa sababu hizi;
1. Anashiriki kwenye Kampeni za CCM na kutumia kofia yake kuwaminya vyama vya Upinzani. Uchaguzi mdogo ulopita watu walilalamikia jeshi la Polisi kuminya Demokrasia, na Mwigulu ndo analiongoza Jeshi la Polisi. Usalama wa raia upo chini yake. Hivyo vyombo vya chini vinaweza kufanya mambo yasiyofaa kumfurahisha boss.
2. Mauaji ya Kibiti aliwatuhumu vyama pinzani wa CCM kama ndo wanahusika. Alikuwa anasema kwanini wauawe wa CCM tu? Hapo anaongea hivyo Polisi wapo. Kilichoendelea wote wanajua.
3. Watu waliokotwa kwenye Viroba huko Ruvu na kuzikwa huko huko, hakuna alichokiongelea wala kuonesha kusikitika.
4. Watu wanaokotwa baharini lakini hatoi ripoti wala Kukemea hii hali
5. Ben Saanane amepotea yeye yupo tu Ofisini
6. Mwandishi wa habari wa Mwananchi kapotea lakini Mwigulu haoneshi hata haja ya kumtafuta.
7. Tukio la Lissu Kila Mtu anajua.
Swali langu, Je, Rais anapomsifia Waziri wa Mambo ya ndani Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba sisi Wananchi tueleweje?
Kuna watu wa Kusifia kama Lukuvi, Mbarawa, Jafo, Waziri Mkuu n.k.
Kumsifia Mwigulu ni kuipaka Matope Tanzania.
Mwigulu kama anashindwa kujiuzulu kwa matukio haya, anapaswa atenguliwe achaguliwe Waziri Mwingine.
Leo Rais Magufuli amempongeza Waziri Mwigulu Nchemba Idara ya Uhamiaji kwa kufanikisha mradi wa mfumo mpya wa Pasipoti za Kielektroniki.
Mungu tusaidie.
Watanzania tuendelee kuiombea Serikali yetu isije ikanuka damu. Sababu damu ya binadamu haiendi bure, inakufuata hadi kizazi chako.
Kwa Tanzania, wale wenye uwezo na kipawa cha kuongoza huwa hawataki kabisa kuongoza mpaka wasukumwe!Nilikuwa simfahamu mh Majaliwa. Lakini baada ya kumsikiliza, namkubali. Ninaamini alitakiwa awepo kwenye short list ya wagombea urais.
Ila chini ya utaratibu tulionao, kamwe hatutaweza kuwapata watu kama hao. Siasa zetu ni ujinga! Or at least zimegeuka kuwa ujinga kabisa!
Mwalimu aliwahi kusema “siasa ni kilimo” kwenye azimio la Iringa. Nilijiuliza kwanini aseme hivyo? Pengine kuna waliotaka kuibadili siasa kuwa ujinga Or something kama ilivyo sasahivi?
Nimegunduwa siasa inaweza ikabadilishwa. Sisi ya kwetu imekuwa ujinga!
Majaliwa hajawahi kuwa wizara ya Elimu! alikuwa Tamisemi akishughulikia elimu, sijawahi sikia hilo ndio kwanza leo!Majaliwa yupi?....huyu aliyepiga bakora walimu wakati yupo wizara ya Elimu
Siku zote bosi wako ndie anaejua kiwango chako cha utendajiBado naamini rais hamanishi anachokisema juu ya sifa anazompa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kwamba anafanya kazi vizuri. Hili ndo Tatizo la kuchanganya kazi za kisiasa na Kazi za Serikali.
Haya nabii Tito tumekusikia.Heshima kwenu wakuu,
Kwakweli hata mimi naanza kuliona ombwe la Uongozi Tanzania.
Bado naamini rais hamanishi anachokisema juu ya sifa anazompa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kwamba anafanya kazi vizuri. Hili ndo Tatizo la kuchanganya kazi za kisiasa na Kazi za Serikali.
Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba ambaye ni Waziri wa Mambo ya ndani katika nchi zinazofuata utawala wa Sheria alitakiwa awe amejiuzulu na kufunguliwa mashitaka kwa matumizi mabaya ya Ofisi.
Namlaumu Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kwa sababu hizi;
1. Anashiriki kwenye Kampeni za CCM na kutumia kofia yake kuwaminya vyama vya Upinzani. Uchaguzi mdogo ulopita watu walilalamikia jeshi la Polisi kuminya Demokrasia, na Mwigulu ndo analiongoza Jeshi la Polisi. Usalama wa raia upo chini yake. Hivyo vyombo vya chini vinaweza kufanya mambo yasiyofaa kumfurahisha boss.
2. Mauaji ya Kibiti aliwatuhumu vyama pinzani wa CCM kama ndo wanahusika. Alikuwa anasema kwanini wauawe wa CCM tu? Hapo anaongea hivyo Polisi wapo. Kilichoendelea wote wanajua.
3. Watu waliokotwa kwenye Viroba huko Ruvu na kuzikwa huko huko, hakuna alichokiongelea wala kuonesha kusikitika.
4. Watu wanaokotwa baharini lakini hatoi ripoti wala Kukemea hii hali
5. Ben Saanane amepotea yeye yupo tu Ofisini
6. Mwandishi wa habari wa Mwananchi kapotea lakini Mwigulu haoneshi hata haja ya kumtafuta.
7. Tukio la Lissu Kila Mtu anajua.
Swali langu, Je, Rais anapomsifia Waziri wa Mambo ya ndani Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba sisi Wananchi tueleweje?
Kuna watu wa Kusifia kama Lukuvi, Mbarawa, Jafo, Waziri Mkuu n.k.
Kumsifia Mwigulu ni kuipaka Matope Tanzania.
Mwigulu kama anashindwa kujiuzulu kwa matukio haya, anapaswa atenguliwe achaguliwe Waziri Mwingine.
Leo Rais Magufuli amempongeza Waziri Mwigulu Nchemba Idara ya Uhamiaji kwa kufanikisha mradi wa mfumo mpya wa Pasipoti za Kielektroniki.
Mungu tusaidie.
Watanzania tuendelee kuiombea Serikali yetu isije ikanuka damu. Sababu damu ya binadamu haiendi bure, inakufuata hadi kizazi chako.
Hii inahusiana na nini? Mbowe alishawahi kuwa na jeshi au Serikali? Jifunze ujenga hoja sio unaropoka tu.Chacha wange aliuawa je mlimfukuza mboe huko ufipa??