Nimeoa single mama


Umenikumbusha mambo ya high school
 
Baba wa mtoto anawacheki tu anajisemea hihihiii bagosha!!

yani kati ya kosa alilofanya huyu jamaa ni kumuweka mbali huyu mtoto... sasa mama mtoto akiaga anakwenda kumtazama mwanae sijamaa ataumwa kwa pressure?
Sasa mtoto wa miaka miwili angekaa nae kabisa hapo na angetengeneza bond ambayo Mama asingeweza kuwa na sababu ya kumtafutia baba mtoto anayempenda...
Huyu Mama kwanza kichwani sio mzima kabisa hivi kweli mtoto ana miaka miwili unamuacha halafu bado unajiita Mama aiseee....

Huyu jamaa yake anateswa na wivu na lazima jamaa atarudi na atamsumbua sana maana kampa mwanya huo....

Halafu hizi mada za uongo na kweli kuhusu single mother humu watu wanazichukulia serious kiasi wanaenda kuishi hivyo mtaani kitu ambacho kina wakost sana...Sasa kama huyu ndio kaharibu kabisa hata huyo mke wake awezi akampenda kiasi anachodhani...mwanamke ukimtenganisha na mtoto wake basi umekosa asilimia kubwa ya upendo wake..,,huyu jamaa kaponzwa na mada za jf
 
Naona umeamua kujiunga na baba wa mtoto kumfanyia ukatili huyo malaika. Kaanza baba yake kwa kujitenga nae na wewe unamalizia kwa kumtenganisha na mama yake. Hebu acha angalau mtoto afaidi mapenzi ya mama yake.
 
Bachelor ll esq 😘😘😘
 
Bidada angekua mkali, huyo bwana wa zamani kumuona mtoto akamuone kwa kina bibi ila home kwa jamaa/mume marufuku kukanyaga.Wengi hawarudi kwa wema wanakuaga na yao.
Ndo Maana nkasema
Sometimes wanaume tuna roho mbaya Sana,
lengo Ni kumharibia TU binti, hamna mapenzi ya dhati ya ghafla namna ile
 
Mawasiliano na ma ex ni No No, whether mna mtoto au hamna. I thought this is common knowledge why is this a discussion. Wanaoenda kukutana na ex kwasababu ya mtoto kapata sababu tu, huenda hata kama kusingekuwa na mtoto angetafuta excuse kuwasiliana naye
 

Umesema kweli kabisa
 
Siwezi na sitakuja weza kuishi na mtu akithubutu au kutamka au nikhisi anabagua mtoto wangu
Mtoto wangu kwanza
We hako katoto kanakupunguzia nin na watazaliwa ndugu zake hapo,ukishaamua kitu amua
Ukipenda boga penda na ua lake
Kati ya kitu ambacho amekosea ni hicho tu... Kama ulimwambia hutaweza kuishi na mtoto wake, baasi hata upendo anaokuinesha ni fake, yaani kavaa ngozi ya kondoo huyo ni chui.

Ushauri: Mtoto yule hana hatia hata chembe, ishi naye tu kwa upendo. Kifupi kuna faida zaidi utazipata ukiishi na huyo mtoto kuliko kumbagua....

Kila raheli...,......
 
Mkuu hapo kwenye baba wa mtoto hajawahi kutoa hata mia ni kwamba unadanganywa. Hizo ni Story za ma single mama wote. Yaani kama vile wamesoma chuo kimoja cha usingle mama, Mambo wanayoongea yanafanana. Na mwisho kabisa kuwa tayari mara kadhaa single mama akapashe kiporo
 
Ila kumbuka uhawara hauna talaka,kupasha kiporo kama kawa,ni hayo tu.
 
Yaan umevunja sheria 2 kuu kwa mkupuo unadhan utapona kweli?

Hivi vikao vyetu huwa unahudhuria?
 
Mungu atamsimamia huyo mtoto yatima, hana Baba, hana Mama!
 
Kuna mwanamke mmoja nilimpa mimba then tukaachana time nampa mimba alikuwa kamaliza form six so mwaka wa kwanza chuo alisoma akiwa na mimba

Nilihudumia mimba mpaka mtoto akafikisha mwaka mmoja then akapata bwana mwingine alichokifanya aliniambia Yule mtoto sio wangu
na mtoto Nina fanana nae kila kitu akakataa matumizi yangu nikala block pote

Now huyo demu ni lecture mkwawa na mme wake ni engineer TANROAD ndoa yao ina miaka 5 sasa

Mwanangu Sijawai kumuona tena na mm life limenipiga hata mtaani mpaka kutapeliwa na jamaa wa ikulu aliniambia nimpe hela anipeleke MSATA nikawe mwanajeshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…