mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,857
- 106,090
Polisi wenyewe wanalala seloYeah inawezekana kabisa,
Huyo victorie atakua ni polisi na vyeo vyake au yupo kwenye sekta nyeti nyeti kwaiyo usimbishie
Leo nikiwa katika mihangaiko yangu ya kila siku muda wa SAA saba mchana nilipigiwa simu na jamaa yangu tuliyesoma nae shule ya upili rafiki yangu Huyu yeye ni Boda Boda na alikuwa akinijulisha kwamba mama yake ni mgonjwa hivyo nikaona ni vizuri nipite kumjulia hali akanielekeza sehemu anayo tafutia riziki nikaenda baada ya kufika tukawa tunapiga soga kidogo kabla hatujaelekea kwao kumuona mama yake Mara ghafla bin vuu tukajikuta tuko chini tumepigwa mitama na polisi Mara makofi bakora kibao ukiuliza kosa unapigwa vibaya mno tukakamatwa na wenzetu kama nane tukatiwa ndani ya gari (ashoki)huku tukiendelea kukanyagwa virungu vingi vikiendelea kutembea tulipofika kituoni tukaambiwa kuna mauaji yametokea mtaa wa pili Jana usiku SAA sita kwahiyo tunahitajika tutoe ushirikiano wa kupatikana kwa mtuhumiwa mmoja aliyehusika ambae anasemekana anakaa mitaa hiyo tulipofika kituoni tukachukuliwa maelezo tukaswekwa rumande tumekaa masaa sita tukiugulia maumivu huku kunguni, chawa, papasi wakiendelea kututafuna tunashukuru nguvu za ndugu na majirani kuandamana mpaka kituoni kutetea haki zetu tumekuja kutoka SAA moja na nusu usiku kwa utaratibu huu kweli jeshi la polisi liko kwa ajili ya kulinda usalama wa raia au kukandamiza na kudhalilisha raia tunashukuru tumetoka japo kuna wenzetu wamebaki inasikitisha sana
Mmmh..we utakua policeTujifunze kuheshimu vyombo vya dola
Labda mlipigwa Sababu ya ubishi
Tatizo nyotaKwa hiyo mmenifanya kuwa topic?
Usipowapa polisi ushirikiano utawapa wahalifu. Kwakufanya hivyo ndiyo utakua salama?Ukiwekwa chini ya ulinzi usijifanye much know, fata maelekezo kwanza.Halafu wanaomba ushirikiano na raia..
Then what?Tembea na panga ufe na mmoja
Siyo kila muhalifu anapatikanaSidhani kama inawezekana,yaani mkusanywe tu kiboyaboya kwa mauaji ya mtu asiyejulikana hapo mtaani wakati waliompiga risasi lissu mpaka Leo hawajakamatwa
Kuna baadhi ya wajinga hubeza njia ya maandamano katika kudai hakiLeo nikiwa katika mihangaiko yangu ya kila siku muda wa SAA saba mchana nilipigiwa simu na jamaa yangu tuliyesoma nae shule ya upili rafiki yangu Huyu yeye ni Boda Boda na alikuwa akinijulisha kwamba mama yake ni mgonjwa hivyo nikaona ni vizuri nipite kumjulia hali.
Akanielekeza sehemu anayo tafutia riziki nikaenda baada ya kufika tukawa tunapiga soga kidogo kabla hatujaelekea kwao kumuona mama yake.
Mara ghafla bin vuu tukajikuta tuko chini tumepigwa mitama na polisi Mara makofi bakora kibao ukiuliza kosa unapigwa vibaya mno tukakamatwa na wenzetu kama nane tukatiwa ndani ya gari (ashoki)huku tukiendelea kukanyagwa virungu vingi vikiendelea kutembea.
Tulipofika kituoni tukaambiwa kuna mauaji yametokea mtaa wa pili Jana usiku SAA sita kwahiyo tunahitajika tutoe ushirikiano wa kupatikana kwa mtuhumiwa mmoja aliyehusika ambae anasemekana anakaa mitaa hiyo.
Tulipofika kituoni tukachukuliwa maelezo tukaswekwa rumande tumekaa masaa sita tukiugulia maumivu huku kunguni, chawa, papasi wakiendelea kututafuna tunashukuru nguvu za ndugu na majirani kuandamana mpaka kituoni kutetea haki zetu tumekuja kutoka SAA moja na nusu usiku.
Kwa utaratibu huu kweli jeshi la polisi liko kwa ajili ya kulinda usalama wa raia au kukandamiza na kudhalilisha raia tunashukuru tumetoka japo kuna wenzetu wamebaki inasikitisha sana
unaelewa ulicho andika??gorm 4 ulipata ngapi kabla ya kwenda depo??acha kelele hio ni mbinu ya kiupelelezi ulitaka ukamatwe kwa kubembelezwa wakati umekutwa eneo la tukio ukikutwa huna hatia utaachiwa tuu polisi sio vichaa kama ulivotaka kutuamaminisha.
acha kelele hio ni mbinu ya kiupelelezi ulitaka ukamatwe kwa kubembelezwa wakati umekutwa eneo la tukio ukikutwa huna hatia utaachiwa tuu polisi sio vichaa kama ulivotaka kutuamaminisha.
Kwa utaratibu huu kweli jeshi la polisi liko kwa ajili ya kulinda usalama wa raia au kukandamiza na kudhalilisha raia tunashukuru tumetoka japo kuna wenzetu wamebaki inasikitisha sanaLeo nikiwa katika mihangaiko yangu ya kila siku muda wa SAA saba mchana nilipigiwa simu na jamaa yangu tuliyesoma nae shule ya upili rafiki yangu Huyu yeye ni Boda Boda na alikuwa akinijulisha kwamba mama yake ni mgonjwa hivyo nikaona ni vizuri nipite kumjulia hali.
Akanielekeza sehemu anayo tafutia riziki nikaenda baada ya kufika tukawa tunapiga soga kidogo kabla hatujaelekea kwao kumuona mama yake.
Mara ghafla bin vuu tukajikuta tuko chini tumepigwa mitama na polisi Mara makofi bakora kibao ukiuliza kosa unapigwa vibaya mno tukakamatwa na wenzetu kama nane tukatiwa ndani ya gari (ashoki)huku tukiendelea kukanyagwa virungu vingi vikiendelea kutembea.
Tulipofika kituoni tukaambiwa kuna mauaji yametokea mtaa wa pili Jana usiku SAA sita kwahiyo tunahitajika tutoe ushirikiano wa kupatikana kwa mtuhumiwa mmoja aliyehusika ambae anasemekana anakaa mitaa hiyo.
Tulipofika kituoni tukachukuliwa maelezo tukaswekwa rumande tumekaa masaa sita tukiugulia maumivu huku kunguni, chawa, papasi wakiendelea kututafuna tunashukuru nguvu za ndugu na majirani kuandamana mpaka kituoni kutetea haki zetu tumekuja kutoka SAA moja na nusu usiku.
Kwa utaratibu huu kweli jeshi la polisi liko kwa ajili ya kulinda usalama wa raia au kukandamiza na kudhalilisha raia tunashukuru tumetoka japo kuna wenzetu wamebaki inasikitisha sana
Umesoma vizuri tukio limetokea mtaa wa pili na tulipokamatwa si eneo la tukioacha kelele hio ni mbinu ya kiupelelezi ulitaka ukamatwe kwa kubembelezwa wakati umekutwa eneo la tukio ukikutwa huna hatia utaachiwa tuu polisi sio vichaa kama ulivotaka kutuamaminisha.
Mwambie amuulize marehmu akwilina rip