Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,854
Labda wakati mimi nikinunua wa elfu 10 napata unit 28.9 sasa mwenzetu labda yupo kwenye kundi la watu maalumuAfadhali umeliona mkuu. Labda mwenzetu analipia kwa dola.
Labda wakati mimi nikinunua wa elfu 10 napata unit 28.9 sasa mwenzetu labda yupo kwenye kundi la watu maalumuAfadhali umeliona mkuu. Labda mwenzetu analipia kwa dola.
Yani unit anazozungumzia kwa 5K... mi kwa hata 20K sizipati.Labda wakati mimi nikinunua wa elfu 10 napata unit 28.9 sasa mwenzetu labda yupo kwenye kundi la watu maalumu
Labda alijua wote hatutumii luku ndomana kapotea ghafla mana kashindwa kudanganyaYani unit anazozungumzia kwa 5K... mi kwa hata 20K sizipati.
Nahisi hivyo. Sio rahisi kihivyo.Labda alijua wote hatutumii luku ndomana kapotea ghafla mana kashindwa kudanganya
Usiwe mbishi inategemea wewe uko tarrif gani.Nenda kawaone Tanesco watakusaidia, hilo muda mwingine huwa ni tatizo
Mimi sijabisha nimeshauri..Usiwe mbishi inategemea wewe uko tarrif gani.
Mkuu ukiwa watumia below unit 70 nadhan kwa mwezi unabadilishiwa tarrif ukibadilishiwa unapata unit nyingi zaidMimi sijabisha nimeshauri..
Labda unipe uelewa kuhusu mambo ya tarrif
io tarrif anabadilisha naniMkuu ukiwa watumia below unit 70 nadhan kwa mwezi unabadilishiwa tarrif ukibadilishiwa unapata unit nyingi zaid
Sometimes inatokea uknunua umeme unagoma so ukienda tanesco wanakupa minamba flan uingize kwenye luku ndo unakuwa umebadili au unaweza enda ofisini kwao watacheki matumizi yako kama yako chini utapewa hizo nambaio tarrif anabadilisha nani
Hii ni kweli. Ukiwa kwenye kundi la watumiaji wadogo 10,000 unapata unit 70+Mkuu ukiwa watumia below unit 70 nadhan kwa mwezi unabadilishiwa tarrif ukibadilishiwa unapata unit nyingi zaid
Basi nilimshauri sawa, aende TanescoSometimes inatokea uknunua umeme unagoma so ukienda tanesco wanakupa minamba flan uingize kwenye luku ndo unakuwa umebadili au unaweza enda ofisini kwao watacheki matumizi yako kama yako chini utapewa hizo namba
Very trueSometimes inatokea uknunua umeme unagoma so ukienda tanesco wanakupa minamba flan uingize kwenye luku ndo unakuwa umebadili au unaweza enda ofisini kwao watacheki matumizi yako kama yako chini utapewa hizo namba