Na mimi kwa tsh.9000/= napata unit 73.8kwhMkuu,
Uko serious??
Haya ni maajabu kwangu. Mi hata tsh 20,000 sipati unit nyingi hivyo!Na mimi kwa tsh.9000/= napata unit 73.8kwh
Aisee wahi Tanesco, elfu 5 hununua units 8 na points.Nimesema mkuu kwenye kichwa cha Habari, luku sio mpya na kila mwezi nanunua umeme.
Mkuu elewa hivi, ukitoa 5000 kila mwanzo wa mwezi ndo hayo makato yanafayika, haijalishi umenunua umeme wa shiling ngapi. Ukitaka kununua umeme wa 4000 muamala unakataa. Ukiweka 5000 ndo wanakata hizo 4505 na zinazobaki wanakupa unit hizo kidogo.Kama VAT ni 18%...sasa embu piga 0.18×5000
Au luku yapo ni mpya? if yes, ina maana ulikopeshwa unit 50 ambazo umekatwa kama elfu 18 hivi japo hujasema ulinunua umeme wa shilingi ngapi
Nipe namba ya mita yakoHabari za muda huu ndugu zanguni,
Hivi kweli hela Tanzania haina thamani, ila kwa mtindo huu nashindwa kuamini.
Utakuwa ulikuwa unadaia boss, mlipage madeni mapemaHabari za muda huu ndugu zanguni,
Hivi kweli hela Tanzania haina thamani, ila kwa mtindo huu nashindwa kuamini.
Mbona unabahati sana yani umeme wa elfu 5 unapata unit 45 wakati mwenzio napata unit 14.5 na wa elfu 10 napata unit 28.9Mkuu si waliacha hizo tozo za kila mwezi?
Mimi umeme wa 5000 uwa napewa unit 45 na sikatwi hayo makato toka walipositisha.
Huyu mtu naona anatania hata kama kuna classes katika malipo ila mwenzetu ana ki smart cha aina yakeMkuu,
Uko serious??
Luku kama siyo mpya anadaiwa vipi?Utakuwa ulikuwa unadaia boss, mlipage madeni mapema
Afadhali umeliona mkuu. Labda mwenzetu analipia kwa dola.Huyu mtu naona anatania hata kama kuna classes katika malipo ila mwenzetu ana ki smart cha aina yake