chakula cha watoto
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 462
- 974
Wakuu naandika haraka nipate majibu maana nimeletewa simu Mpya infinix hot 30 play Kwa laki Tatu na ishirini. Sasa Ile nimemaliza kuweka information zote maana ni simu Mpya ila ajabu unaweza ukawa unachat, kuangalia vitu vingine ghafra tu inajizima halafu inarudi mwanzo khabisaaa kama Mpya tu tena unaanza kujirejista upya
Imejizima hii ni mara ya nne Sasa, nimefanya setting zote Wapi, mpaka kwenye system ya schedule power on na off zote nimeweka Sawa lakini inajizima tu
Naombeni ujuzi mbaya zaidi mwamba anataka pesa yake nawakati simu bovu
Japo ni Mpya imeletwa ikiwa kwenye box tumefunguwa vzr tu
Imejizima hii ni mara ya nne Sasa, nimefanya setting zote Wapi, mpaka kwenye system ya schedule power on na off zote nimeweka Sawa lakini inajizima tu
Naombeni ujuzi mbaya zaidi mwamba anataka pesa yake nawakati simu bovu
Japo ni Mpya imeletwa ikiwa kwenye box tumefunguwa vzr tu