Nimenasa!

Nimenasa!

Mr Eggo

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
2,028
Reaction score
1,051
Wasalaaam....

Baada ya mihangaiko yangu ya huku na kule nimenasa kwenye mtego ambapo kwa kweli nahitaji mawazo tofauti na yangu nijinasue.....

Najua kuna ambao watasema oooh ulijifanya mjanja u-play boy sasa sijui nini...I beg them to spare those shits kwa kweli.....by the way nataka nizeeke na full experience...

Nimetembea na dada ambae tunepanga nyumba moja...tena vyumba milango inaangaliana (walah niliapa kutokufanya hivo ila nilizidiwa ujanja)

Basi siku hiyo aliniita tupige stori kwake...saa 3...mara 4..5..6..wakati nataka kurudi kwangu nikapumzike akashauri tulale wote tu haina shida..baada ya hapo you take a gues....

Uyu dada sina malengo nae it was just a crush!!!...kibaya dada wa watu kanielewa ile mbaya..anataka kila siku tulale wote kama sio kwake basi kwangu.....

To make it short nataka niachane nae for gud...ingawa najua kwake ni ngumu na hatamani kusikia hivo...na nimefanya ujinga coz nimekua kama nimeji-block sababu siwezi tena kuja na msichana akijua anaweza kuingia na mlango..tehe....
 
Ujana maji ya moto... Mwambie kama yupo tayari muwe sex partiners awe na boy wake na wewe girl wako na kama ukileta girl wako hapo anatakiwa awe mdogo na asimind ... Hiyo inawezekana na itakuwa nzuri sana... Ila usisahau kutumia condom na kujitahidi kuacha uzinzi..
 
Ujana maji ya moto... Mwambie kama yupo tayari muwe sex partiners awe na boy wake na wewe girl wako na kama ukileta girl wako hapo anatakiwa awe mdogo na asimind ... Hiyo inawezekana na itakuwa nzuri sana... Ila usisahah kutumia condom na kujitahidi kuacha uzinzi..

Mhhhh...i never wish u cross ths...
 
98abe4cac8802ed9db1d48971bf4e9ae.jpg
 
Ushindwe na ulegee..ila usianguke....

Nikilegea utanikaza? Ulegee wewe na viungo vyako from today...naam vikakose nguvu kabisa...hata pale utakapotaka kugegeda vikakuaibishe..maana hata wewe wajua kuwa michepuko sio dili...ni ktk jina la njia kuu naomba na kushukuru...Amen
 
Si umepanga? Hama nyumba,au kodi anakulipia yeye?
Mie simuelewi mwanaume anayedai yuko kwenye mahusiano asiyoyataka,kweli huwezi kumuacha bint usiyemtaka!!

Ts not tht hard coz ts jst saying ts enough...shida n kua mtakua mnapishana koridon umo mmenuniana!!!...the best opt n kuhama i thnk
 
Nikilegea utanikaza? Ulegee wewe na viungo vyako from today...naam vikakose nguvu kabisa...hata pale utakapotaka kugegeda vikakuaibishe..maana hata wewe wajua kuwa michepuko sio dili...ni ktk jina la njia kuu naomba na kushukuru...Amen

Tehe....utakua una undugu na mzee wa hummer ee...aaamen
 
Back
Top Bottom