Nimemuacha rasmi leo!

Nimemuacha rasmi leo!

umukagame

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2014
Posts
1,044
Reaction score
675
Habari z jumapili wakuu
Sasa ni hivi,baada ya kutoka club jana usiku na mpenz wangu leo nimeamua niachane nae rasmi!moyo wangu ndiyo umeamua hivyo sijashawishiwa na mtu yyte!
Tatizo linakuja ntakuwa na na nani,vijana walioniuproch hawana hela kivile so siwez kuwa nao,kuna wababa kama wa3 watu wazito wanantaka nafikiria niwe na mmoja japo simpend hata kidogo,nijiweke tu kwa mda,cz siwez kuwa alon au nifanyaje wapendwa coz siwez mpotezea mkaka wa watu muda nimeamua nimuwache atafute mtu wa dini yake awowe!
Nipeni ushauri
Usinitukane coz ndo lyf yangu
 
Baada ya muda utarudiana nae rasmi
 
Jitegemee..ili upate heshima acha kupenda mtelezo. Hata hao wababa wakikuchoka wakupa buti reeefu
 
wewe utakuwa Zahra White.muongomuongo sana.kwa sifa ulizonazo,unapitwa tu.jipe moyo na ndoto tu
 
Last edited by a moderator:
Hehehe eti hawana hela. Kwanini usitafute za kwako. Huna elimu au ujuzi wowote wa kukuingizia kipato?




||"Tomorrow will say its a memory and we have enjoyed our lives for a couple of days."||
 
Habari z jumapili wakuu
Sasa ni hivi,baada ya kutoka club jana usiku na mpenz wangu leo nimeamua niachane nae rasmi!moyo wangu ndiyo umeamua hivyo sijashawishiwa na mtu yyte!
Tatizo linakuja ntakuwa na na nani,vijana walioniuproch hawana hela kivile so siwez kuwa nao,kuna wababa kama wa3 watu wazito wanantaka nafikiria niwe na mmoja japo simpend hata kidogo,nijiweke tu kwa mda,cz siwez kuwa alon au nifanyaje wapendwa coz siwez mpotezea mkaka wa watu muda nimeamua nimuwache atafute mtu wa dini yake awowe!
Nipeni ushauri
Usinitukane coz ndo lyf yangu
Ukumbuke na virusi pia!!
 
We hutaki kuwa na mmoja uolewe!!??


||"Tomorrow will say its a memory and we have enjoyed our lives for a couple of days."||
 
Habari z jumapili wakuu
Sasa ni hivi,baada ya kutoka club jana usiku na mpenz wangu leo nimeamua niachane nae rasmi!moyo wangu ndiyo umeamua hivyo sijashawishiwa na mtu yyte!
Tatizo linakuja ntakuwa na na nani,vijana walioniuproch hawana hela kivile so siwez kuwa nao,kuna wababa kama wa3 watu wazito wanantaka nafikiria niwe na mmoja japo simpend hata kidogo,nijiweke tu kwa mda,cz siwez kuwa alon au nifanyaje wapendwa coz siwez mpotezea mkaka wa watu muda nimeamua nimuwache atafute mtu wa dini yake awowe!
Nipeni ushauri
Usinitukane coz ndo lyf yangu


sasa waomba ushauri wa nini wakati ushafanya maamuzi yako na zaidi umesema ndo lyf yako....we kama waona kugawa papuchi ni deal haina tabu mbona....free will at work
 
Upo mama au mkaka wa Verossa Nyeusi amekupitia? Kimya mno labda yamekukuta

haaahahaha mkuuu umenikumbusha mkaka wa verosa nyeusi hahhahaha si yule wa tabata kama ni wewew uliweka ile stori plz iweke tena au nipe link
 
HIVI KWA NINI USINGEFANYA ULE UAMUZI JAMANI kufa tu bwana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom