Nimemuacha lakini vijembe haviishi

Nimemuacha lakini vijembe haviishi

Machmadem

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2017
Posts
758
Reaction score
941
Habar zenu poleni na majukumu

Niende kwenye mada, takriban mwezi na sehemu umesha kata huyu binti nilimpiga kibuti cha kimya kimya baada ya mizinga kushamiri ndipo nilipoona kuutua huu mzigo wa katani .

Kiukweli sikuwahi ku benefits kwake zaid ya papuchi tu na ukizingatia anajishugulisha na kazi za saloon mara chache chache kuna wakati nakua tyte au nimekwama ki uchumi lakini sikuwahi kupata msaada wake hata sent 5.

Huyu bint nimedate nae almost 3 months nikaanza kusoma nyendo zake taratibu mpaka nilipo jiridhisha na kupata kile nacho taka.

Sasa kituko nimembwaga manyanga lakini naona vijembe vingi huko WhatsApp sasa sijui mantiki kuu ni nini hasa

Naombeni ushauri nimfanyaje kumjibu siwezi na status nikiweka yeye ndo mstari wa kwanza ku view utazani anashinda mtandaoni kuni subiria mm nipost matukio yangu
 
Sasa kituko nimembwaga manyanga lakni naona vijembe vingi huko WhatsApp sasa sijui mantiki kuu ni nini hasa
Hivyo unavyosema vijembe ni kwenye status zake? Move on kijana. Ni aibu kwa mtoto wa kiume kutwa kuchungulia status za wanawake. Usipoangalia status zake wala hivyo so called vijembe hutoviona na havitokuumiza
 
Mwanamke anajishughulisha na saloon halafu unashangaa kwa nini vijembe haviishi?
400012300548_376043.jpg
 
Hivyo unavyosema vijembe ni kwenye status zake? Move on kijana. Ni aibu kwa mtoto wa kiume kutwa kuchungulia status za wanawake. Usipoangalia status zake wala hivyo so called vijembe hutoviona na havitokuumiza
Na uzi umeishia hapa. Kwanza anapata wapi ujasiri wa kuview status kama sio bado anampenda huyu. Futa namba endelea na mambo yako simple.
 
Kwanza umezingua kutaka kushindana na mwanamke,
Alafu wewe acha kujishtukia, we unauhakika gani kakuwekea wewe?
Kila siku nasisitiza, wamama msikae na watoto wenu wa kiume jikoni hamuelewi, haya ndo madhara yake.
 
Acha ujinga Bob, futa namba zake, ushambwaga bado unakaa na namba zake za simu ili iweje.!
 
hivi kwa mwanaume unaejielewa,unaanzaje kutoka na mwanamke wa kufanya kazi za saloon?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom