Habari zenu wana jf kuna bint nimemtongoz na kanikatalia pia ila hachoki kuniangalia i mean most of time i observe she is watching me even thuogh mm sina habar nae tena
Kwa hiyo mtu akikukataa haruhusiwi kukuangalia???????
Wanaume mnapenda sana visasi vya kijinga khaa!!
Inawezekana anakuangalia kwasababu anakuonea huruma jinsi unavyohangaika kujifanya huna shida nae wakati ushamtongoza, hahahahahah
anachekacheka?