Nimemtongoza ila kanijibu nisimpende

Nimemtongoza ila kanijibu nisimpende

Mwambie sawa naomba nafasi ila sitakupenda kama we unavotaka....vijana wa siku hizi hamna skills za kutongoza kabisa, jibu moja tu kichwa kinachemka!!!
 
Habari ya wakati huu

Katika pitapita zangu za hapa na pale za kutafuta mke nimekutana na binti wa kipare na mlokole ambae tulipotezana muda mrefu sana , kiukweli binti yupo single/ haja olewa wala hana mtoto na tabia yake ni ya kuridhisha nikajisemea cz natafuta mke acha ni mtongoze

ila katika harakati za kupiga piga story nimemtongoza na akanijibu nimekuelewa ila usinipende mimi sitaki kupendwa..

Ndugu zangu sasa hapa na fikiria namna ya kufumua huu mtego wakuu..imekaaje hii ndugu zangu
Tafuta watu walokua akili
 
Maisha haya hakuna binti ni mlokole wala nin sema tu kakupinga kiaina ila ukimkazia ataeleweka tu labda ana mtu/watu wake hatak kukuchanganya kwasababu umeingia na gear za kuoa
 
Unataka kumla kimasihara kondoo? [emoji23]
 
Tunaona/olewa ili kupata wasaidizi katika familia zetu including kuanzisha familia. Unategemea mwenzi wako ndio atakua chanzo cha furaha na amani yako ya moyo lakini kama pamoja na kujitahidi kote huko bado habadiliki na kuleta maelewano ndani ya nyumba huyo tena hakufai. Kinachotuumiza wanaume ndio hicho tu “kuvumilia mpaka yasiyovumika”.
 
Habari ya wakati huu

Katika pitapita zangu za hapa na pale za kutafuta mke nimekutana na binti wa kipare na mlokole ambae tulipotezana muda mrefu sana , kiukweli binti yupo single/ haja olewa wala hana mtoto na tabia yake ni ya kuridhisha nikajisemea cz natafuta mke acha ni mtongoze

ila katika harakati za kupiga piga story nimemtongoza na akanijibu nimekuelewa ila usinipende mimi sitaki kupendwa..

Ndugu zangu sasa hapa na fikiria namna ya kufumua huu mtego wakuu..imekaaje hii ndugu zangu
Sio lazima kua nae
 
Back
Top Bottom