Ni muhimu sana Ndugu Mjengwa uisaidie hiyo familia kutafuta wakili wa kuwasaidia kufungua kesi ya madai dhidi ya Polisi na Serikali ya Tanzania. They should sue the state (whose agents the Police are,) for at least two billion shillings.
Sidhani watoto wao wataweza kufanya mitihani mwaka huu. Let us be realistic. Itabidi waombewe kuahirisha kwa mwaka mmoja, na wapewe counselling tu kwa sasa.
vyama vya kutetea haki za binadamu viko wapi? huu ndio wakati wa kuonesha uwepo wao.
Maggid,
Msaidieni mjane wa Mwangosi afungue kesi ya madai dhidi ya serikali na jeshi la polisi.
Majid mjengwa;
Vii hakuna namna yeyote ya kuwafungulia kesi kamanda Michael Kamuhandaa(Iddi Amini) na vijana waliochangia kifo chake kwa kipigo na muuaji mwenyewe binafsi niko tayari kuchangia mfuko huo ili kuona haki inatendeka badala ya kuwaachia polisi wenyewe wahakikishe haki inatendeka wakati wao ndio waliosababisha kifo cha mhusika?
Ni muhimu sana Ndugu Mjengwa uisaidie hiyo familia kutafuta wakili wa kuwasaidia kufungua kesi ya madai dhidi ya Polisi na Serikali ya Tanzania.
At least huyo Majjid unayemuona hana hizo sifa ametoka zaidi a kilomita 300 kwenda kumjulia hali mjane wa marehemu na kumtafutia the way forward, tofauti na wewe uliyekaa nyuma ya skrini ya hiyo device yako ukiandika maneno yenye lengo la kumkatisha mtu tamaa.
Nadhani jukumu la kumsaidia mjane wa Mwangosi sio la Majjid pekee, ni la kila mmoja wetu. Na itakua hatumtendei haki Majjid kama tutabeza juhudi zake.
Na kama unaona Majjid sio mtu stahili kwa nini usichukue wewe hilo jukumu la kumsaidia mjane wa Mwangosi kutafuta haki yake Mahakamani?
Majjid Mjengwa nakuheshim na naomba Mungu akupe nguvu ili uzidi kumsaidia mjane na familia ya marehemu Mwangosi ambaye Kamuhanda aliamua amnyang'anye uhai wake.
Asante kwa mawazo yako ya kijasiri na yenye mantiki tele.Yaani huyu mama kaniudhi na kunikera to the maximum.NDIO HAWA AMBAO ETI ALIKUWA UMOJA WA MATAIFA KUFANYA NINI?Hivi mpaka tunavyoongea hajatimuliwa kweli kule?na hii UWT si wing ya nyinyiemu mbona hawajaongea lolote kuhusu huyu mjane?jamani i suggest uanzishwe mfuko maalumu wa kusaidia kesi ifunguliwe.nimemuona leo kwenye gazeti la nipashe Dr. Asha Migiro akicheza ngoma nikashangaa sana aliyekuwa naibu katibu wa UN
ni cheo kikubwa sana Leo hii haki za binadamu zinavunjwa hata kutoa tamko hakuna jamani angalau hata kulaani hakuna.
utetezi wa haki za binadamu unaishia Newyork tu. ukitoka kuja Tanzania unakaa kimya kuhusu haki za binadamu wakati
raia wakiuawa bila hatia. waandishi jaribuni kutusaidia kupata maoni yake tukione hicho kigugumizi chake cha kukataa
kumuhudhi jk
Ni muhimu sana Ndugu Mjengwa uisaidie hiyo familia kutafuta wakili wa kuwasaidia kufungua kesi ya madai dhidi ya Polisi na Serikali ya Tanzania. They should sue the state (whose agents the Police are,) for at least two billion shillings.
Sidhani watoto wao wataweza kufanya mitihani mwaka huu. Let us be realistic. Itabidi waombewe kuahirisha kwa mwaka mmoja, na wapewe counselling tu kwa sasa.
TUMBIRI ninachokifikiria mimi sasa hivi for good ni kumuweka huyu Maggid kwenye ignore list yangu, huyu kwangu ni zaidi ya shetani na sitakaa tena nimuweke kwenye kundi la binadamu.
the last tym I checked, the woman is a gamba...so a gamba shud behave like one...sijaona gamba lolote kwa nafasi yake kwenye chama hicho akizungumzia chochote kuhusu suala la the late Mwangosi...nimemuona leo kwenye gazeti la nipashe Dr. Asha Migiro akicheza ngoma nikashangaa sana aliyekuwa naibu katibu wa UN
ni cheo kikubwa sana Leo hii haki za binadamu zinavunjwa hata kutoa tamko hakuna jamani angalau hata kulaani hakuna.
utetezi wa haki za binadamu unaishia Newyork tu. ukitoka kuja Tanzania unakaa kimya kuhusu haki za binadamu wakati
raia wakiuawa bila hatia. waandishi jaribuni kutusaidia kupata maoni yake tukione hicho kigugumizi chake cha kukataa
kumuhudhi jk
Tumeona miaka michache iliyopita kulikuwa na kesi kama hii. Ni ya Imran Kombe ambaye alipigwa risasi "kwa makosa" na polisi. Mjane wake alifungua kesi ya madai, na kama kumbukumbu zangu ni sawa basi alilipwa kwenye milioni 600.LHRC wameingia mitini, nyie mtaweza? Madaktari wenyewe wamejichanganya wengi wanaomba radhi kwa kile walichokifanya. Huyu mama hana sababu ya kuanzisha kesi za kijinga za kumpotezea muda hata wa kulisha kuku au kujifunza kupiga picha. Akishitaki ndiyo anamrudisha mumewe?
Kikubwa ni kumshukuru Mungu kwa kila jambo na kushukuru wadau wote ambao wanamchangia fedha za kujikimu huku akitafakari safari yake na wanae. Hizo kesi kufungua ni pesa, badala umpe pesa apeleke shule, unashauri aende kupotezea kwa walengwa wenyewe waliofanya hayo yaliyotokea.
Tuwe wabunifu wa kufikiri!
Tuacheni kukata tamaa tunapoonewa. We must learn to fight evil. There is need for the family to sue the government. Ni lazima baba aliyekufa matunzo ya familia yake yatoke kwa serikali iliyomuua. Kesi ya madai ni muafaka, ni muhimu kwa ajili ya wanae.kuhusu kufanya mitihani, bora tu wajitahidi wafanye, Mungu atawasaidia. kuhusu kufungua mashtaka mimi binafsi nawashauri hapana, hata watuhumiwa wakihukumiwa haitabadilisha yaliyotokea- kwa kifupi hamna replacement ya mume, baba kipenzi aliyeuawa kikatili. hayo nawashauri wamshukuru Mungu wayaache yameshatokeaa, kwa wakati wake Mungu kama ni hukumu atahukumu kwa haki, hatapendelea.mnaweza mkaamini katika kushitaki, mkaja kubaki midomo wazi jinsi hukumu itakavyotolewa,msiamini masikio na macho yenu. Mungu awape faraja yake na maisha yaendelee, japokuwa hamuwezi kusahau haraka hilo tukio-Mungu awasaidie sana.