Nimemsikiliza Ridhiwan Kiukweli bado anashindwa kujenga hoja anajikita kwenye kejili kwa wapizani,
Eti angechangia bila kutaja upizani asingesikika
Unataja mataifa yanayo onyesha vifa vyao vya jeshi,
Sisi tunahoji mabilioni yanayotumika kufanya maonyesho wakati jimboni wanafunzi wanakaa chini,
Wakati jimboni hakuna kituo cha Afya,
Tunajiuliza fedha hizo zote zingetumika katika kuzuia maambukizi ya Dengue
Eti angechangia bila kutaja upizani asingesikika
Unataja mataifa yanayo onyesha vifa vyao vya jeshi,
Sisi tunahoji mabilioni yanayotumika kufanya maonyesho wakati jimboni wanafunzi wanakaa chini,
Wakati jimboni hakuna kituo cha Afya,
Tunajiuliza fedha hizo zote zingetumika katika kuzuia maambukizi ya Dengue