Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,295
ridhiwani ameshaanza kutimiza ahadi zake kwenye jimbo lake au ilikuwa mtaji wa kupata kura
hata asipotimiza atashnda mbona Jk alikaa zaidi ya twenty kwenye ubunge na hakuwatimizia watu wa Pwani wameshazoea na system ya umaskini