mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Siku za karibuni nimesafiri na Prof. Kabudi kwenda Nairobi. Tuliongea mengi na ninaamini atazingatia ...
Nimeangalia hotuba yake Prof. Kabudi kwa mshangao pale alipokuwa akimshambulia Tundu baada ya kuwa amenishawishi nimkubali Tundu. ...
Awamu hii ina maprofesa wengi. Nachelea watadhalilishwa wasipokuwa waangalifu.
Bandiko lako lina mantiki kiasi.
Ni kweli Maprofesa kiutawala kwa masuala ya kijamii hushindwa kwa sababu maono yao yanakuwa mbali sana na wanaowaongoza.
Ushahidi ni pale bungeni Prof Kabudi alipolibadirisha bunge kuwa darasa lake la sheria. Hivyo si sahihi kusema kwamba alikuwa anamshambulia Mh Lissu ila alikuwa anamkumbusha maadili ya mwanasheria ya kutumia maneno yenye staha. Akamtolea mfano wa mwingereza, mwenye maadili bungeni, hamwambii mwenzake "stupid". Lakini Mh. Lissu hutumia maneno makavu kama kijana wa kijiweni, katika kujenga hoja zake.
Nadhani itafaa Maprofesa wakatumiwa kama washauri wa Serikali kuliko kuwapa madaraka ya Uwaziri.