Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,756
Flashback: August, 2017
Hapo juu Mh. Tundu Antiphas Lissu, aliyekuwa Mbunge wa kuchaguliwa na mwakilishi wa wananchi wa Singida akitoa taarifa ya kukamatwa kwa ndege yetu nchini Canada.
Fast-forward: November, 2019
Hapo juu Prof. Palamagamba Kabudi, Waziri wa kuteuliwa wa Mambo ya nje akitoa taarifa ya kukamatwa kwa ndege yetu tena nchini Canada.
Takafuri...
Mh. Tundu Antiphas Lissu baada ya kutoa taarifa hii muhimu kwa wananchi wa Tanzania alituhumiwa kutumiwa na mabeberu na kuitwa msaliti.
Prof. Palamagamba Kabudi baada ya kutoa taarifa kama hiyo hiyo aliyoitoa Mh. Tundu Antiphas Lissu amepongezwa na kusifiwa kwa uzalendo.
Ndugu zangu Watanzania, je kuna lolote tunajifunza hapa? Naomba maoni yenu yasiyo na jazba wala kebehi. Tanzania ni yetu sote na sidhani kama yuko Mtanzania asiyelitakia mema taifa letu.
Hapo juu Mh. Tundu Antiphas Lissu, aliyekuwa Mbunge wa kuchaguliwa na mwakilishi wa wananchi wa Singida akitoa taarifa ya kukamatwa kwa ndege yetu nchini Canada.
Fast-forward: November, 2019
Hapo juu Prof. Palamagamba Kabudi, Waziri wa kuteuliwa wa Mambo ya nje akitoa taarifa ya kukamatwa kwa ndege yetu tena nchini Canada.
Takafuri...
Mh. Tundu Antiphas Lissu baada ya kutoa taarifa hii muhimu kwa wananchi wa Tanzania alituhumiwa kutumiwa na mabeberu na kuitwa msaliti.
Prof. Palamagamba Kabudi baada ya kutoa taarifa kama hiyo hiyo aliyoitoa Mh. Tundu Antiphas Lissu amepongezwa na kusifiwa kwa uzalendo.
Ndugu zangu Watanzania, je kuna lolote tunajifunza hapa? Naomba maoni yenu yasiyo na jazba wala kebehi. Tanzania ni yetu sote na sidhani kama yuko Mtanzania asiyelitakia mema taifa letu.