Huyu Mungu kwa nini hamumrudiagi mkipata mishahara na ujira??! You consciously went on kuzini na kufanya uzinzi, akakuacha kwa utashi wako (kindani moyoni ulijua fika ufanyacho sio sahihi), mmelikoroga na huyo mwenzako sasa mlinywe.
Actually ukiwa mwizi sharti ujue namna ya kutopatikana na ushahidi wa kutosha (elimination of plausible evidence), sasa wewe hujaacha manyoya tu bali hadi mifupa umeweka mfukoni.