Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Kutembea na mke wa nduguyo ni dhambi kubwa
Si yaleyale sasa?Ni bora kugongana na ndugu ila sio mke wa ndugu yako
Ukisha kuwa mtu mzima acha kuishi kwa ndugu nenda katafute maisha yako.Daah!kumbe nimeamini love doesn't ask why yaani shemeji yangu nimetokea kumpenda kutoka moyoni Ila sasa ndo mke wa kaka angu ntafanyaje....
Nifiche hisia niendelee kuumia
Au nimwambie nijue kama na yeye Ana hisia kama zangu
Na Kama tukipendana tutaonesha picha gani kwa jamii
Dah!
#Iam Zagarino
Duuh!! Dunia sasa inaelekea mwisho sasa wajanja kama sisi tunasema Kumekucha!!Mke wa kaka!!?
kwaio akishaona dalili afanyeje....? ale kimasihara?!Tafuta dalili zinazoonyesha kuwa anakupenda Kama haonyeshi usipoteze mda wako hapo
Sio yaleyale,ukgonga mke wa ndugu yako anaweza kukuua au mkafarakana maisha yenu yote,lakin ukgonga ndugu kunaweza kusitokee chochote zaid ya kushauriwa tuSi yaleyale sasa?
Duuu Sasa si ndugu nao watakutenga kabisa wakishajua umehalalisha haramu kuwa halali? Ukienda kwa dada yako shemejio pamoja na dada yako watakuwa hawana imani tena naweweSio yaleyale,ukgonga mke wa ndugu yako anaweza kukuua au mkafarakana maisha yenu yote,lakin ukgonga ndugu kunaweza kusitokee chochote zaid ya kushauriwa tu
Hama hapo kwa kaka yako. Ndio matokeo ya kula chakula kizuri wakati kazi huna, akili yote inawaza upoloto tu. Ondoka hapo kabla hujaondolewa kwa fedheha
Unapokosa shughuli yakufanya huku ukipata mahitaji yako yote bure bila kufanya kazi ndipo Kichwa huanza kuwaza ujinga,na siku zote ujinga ukikomaa hugeuka na kua Upumbavu.
Hama hapo kwa kaka yako. Ndio matokeo ya kula chakula kizuri wakati kazi huna, akili yote inawaza upoloto tu. Ondoka hapo kabla hujaondolewa kwa fedheha
Wanaendelea na maishaMkuuu kwema
vip wale vijana wako ulio wafundisha kazi ukawakatia na reseni wanaendeleaje????