Hah hah hah umenichekesha aisee, huyo ukute kijijini hajatumaTenda wema nenda zako. Vipi lakini kijijini umewatumia wazee chochote kitu?
Upo sahihi. Mara nyingi huwa hivo. Vijana wana "mambo mengi" sana.Hah hah hah umenichekesha aisee, huyo ukute kijijini hajatuma
Mmh huyo mwanamke hana tu shukurani na hao mashoga zake wanafki tu, ila next time ukitaka kumpa zawadi muulize anataka zawadi gani achague mwenyewe.Katika kuonesha mahubati kidume nikajikamua nikamnunulia perfume kali na dawa moja ya mswaki nikafunga kwenye kibox maalumu siku yake ya kuzaliwa ,cha ajabu nimeambulia mijitusi eti ile zawadi aliifungua na rafiki zake wamemcheka sana eti inamaanisha yeye ananuka mdomo na kwapa wajameni nifanye nini?
Mkuu zawadi nzuri ni ya surprise...Mmh huyo mwanamke hana tu shukurani na hao mashoga zake wanafki tu, ila next time ukitaka kumpa zawadi muulize anataka zawadi gani achague mwenyewe.
Wengine hawapendi surprise, ndio maana huyo jamaa baada ya kumsuprise bebe yeye ndio kawa surprisedMkuu zawadi nzuri ni ya surprise...
Upuuzi mwingine ni kufungua zawadi mbele ya mashabiki, ili iweje?Ndo tulivyo wabongo hapo usikute hao marafiki zake wanamuonea wivu, ndo maana sitakagi ushoga wa kipuuzi mie