raiswenu
JF-Expert Member
- Apr 20, 2018
- 1,024
- 1,780
Kauli ya kijambazi kama id yakoAliyekua na mimba yako ni mama ako tu, hiyo ni mimba yake.
Kauli ya kijambazi kama id yakoAliyekua na mimba yako ni mama ako tu, hiyo ni mimba yake.
HONGERA MKUU KWA KUTUONGEZEA MASHOMBESHOMBE MTAANI
Maoni yangu ni kwamba ninnyi wote endapo mtashiriki mtakuwa mmetenda dhambi ya kuua so epukeni hilo
Unachezea bahati, nnavyotamani kuzaa shombeshombe
Subiri wakati wa kuitoa mimba binti AFE, unajipatia case ya mauwaji hivi hivi.[emoji2955][emoji848]
mmejuana mwezi sasa na tayar amemkaza mara 3 na nyongeza ya mimba.! aise hawa wanawake wanapatkana wap mbona me cwapat
Mkuu umemtia mimba mwanafunzi ? 30 years loading
Mwambie aagize mirinda nyeusi anywe..akimaliza alale
Hili hulioni sasa kwa kuogopa
Lakini utajuta maishani mwako kwa kuuwa kwa kukusudia
Acha nature ifuate njia zake na ajifungue
Bora hata umshawishi mtoroke mkaanze maisha sehemu nyingine kuliko kuuwa
Wenzangu mnatianaje mpaka mnawapa mimba hawa viumbe Mbona mimi sijawahi kuambiwa nabint kuwa anamimba yangu
Kwahiyo Mimi ulikuwa unanidanganya kumbe una mwarabu na umeshammimba 😳 😳 😀
Daaah 😂 😂 😋 😂 haya majungu sasaWengine wanajifanya wanaomba ushauri,lakini lengo nikwamba tujue amemchetua shombe wa Kipemba ambaye yeye anamuita mwarabu.
Ushwahili wangu umeniponza lolNisamehe mama, 🤦🏼♂️