Nimemkuta na tattoo

Tumia Condom
 
Kumbe wewe ni ME? JF ni kichaka kumbe
 
Fashooon zinawaharibu
 
Sijui n mimi tu au lah....
Mwanamke mwenye tattoos SIOWI!
 
Sio sababu ya msingi hiyo. Tattoo ni urembo. Kuhusu kuchorwa ktk tako pia si hoja ya msing kwa sasa; Kwani umemkuta nayo. Angechorwa wakati upo nae na hajakushirikisha ni hoja ya msingi.

Ni wazi wewe si mpz wa kwanza Kwake. Jitahd kukua sasa Kwani una mpango wa kulea familia, Lazima uwe smart ktk maamuzi.

Wapo wasio na tattoo ni Malaya wa kutupwa. Na shem yetu anazo akawa ni wife material. Bado unao muda wa kutosha kumchunguza Kiwanis.

NB: Yapo ya maana kumchunguza si kujua alichorwa lin? Na nani?
 
Kwann umehisi ni Me?
Nimekukumbuka wewe ni yule dada wa kudonate sperm na KE mwenzio kisha muwe na mtoto.

Wakati kiuhalisia mtoto ni wa njemba ilotoa sperm na aliyebeba mimba.

Dunia ina mengi sana ya ajabu....all ni kutekeleza fantasies.
 
Well said kibuyu180 , wapo wengi ambao hawajachora tattoo lkn Malaya wa kutupwa
 
Muongezee na tatto la jina lako ili ukimuacha atakae mpata nae ajiulize ivo
 
Namjua Uyo na Tigo anatoa kwao watu wa dini sana kaka yake moja amemaliza Chuo mzumb
 
Huyo siyo mke bora nijuavyo tattoo ni ishara ya kuwa na myelekeo ya uhuni
 
Wakuu nimerudi Tena hapa! Siku ya kwanza naleta huu uzi hapa ndipo ilikua mara ya kwanza kukutana na huyu Msichana kutokea amemaliza Hedhi leo ananipigia Cm anadai Anaujauzito Wangu. Wakuu n sahihi ili?
 
Kama umemkuta nayo hakuna namna endelea kumpenda nayo......
 
Najibiwa n mbabu mmoja ivi ndio kaz yake Over.
Umejibiwa hivyo bado unataka na sisi tukupe jibu gani mbona vijana wa kileo mmekuwa mbumbumbu kiasi hicho.
Kwa akili yako hiyo lazima ubaki masikini milele huna maamuzi magumu kabisa.
 
Wakuu nimerudi Tena hapa! Siku ya kwanza naleta huu uzi hapa ndipo ilikua mara ya kwanza kukutana na huyu Msichana kutokea amemaliza Hedhi leo ananipigia Cm anadai Anaujauzito Wangu. Wakuu n sahihi ili?
Oohoo...Hukutumia kondom???
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…