Nimemkuta mpenzi wangu na mwanaume mwingine

Huyo mwanamke ameshakuingiza mjini...,anayeibiwa ni ww na siyo huyo jamaa mwingine

Pokea kisa hiki cha kweli na cha kusikitisha kilicho mtokea kaka yangu wa damu aliyenilea tangu utotoni,
Ilikuwa ni mwaka 2010;Brother alipotangaza ndoa na mwanamke wa Kichagga...,lakn kwny mafundisho ya ndoa mwanamke alimdanganya Brother kuwa "Ukiulizwa kuwa una watoto kataa" huyu mwanamke alimwambia Brother namna hii huku akijua kuwa Brother anao watoto wawili aliozaa na mwanamke mwingine ambaye Tayar ni marehem;vilevile huyu mwanamke wa Kichagga alikuwa anawafaham hao watoto kwa sura na majina
So,wakati wote wa mafundsho Brother alikuwa akiulizwa "je, una watoto uliozaa na mwanamke mwingine?" jibu lilikuwa ni "hapana"
Kilichokuja kutokea baadae,mwanamke alimdhulumu Brother nyumba wakiwa tayar wameshazaa mtoto mmoja (wakiume);mwanamke aliomba talaka baada ya kuwa ameshaandaa ushahid wa kutosha utakaompa credit wakati wa kuomba talaka...,sku ya talaka mwanamke (shemeji yangu huyo,mwanamke wa Kichagga)... aliwaambia wazee wa baraza "huyu mwanaume ( yaani kaka yangu) siyo mwaminifu na alinidanganya kuwa hana mtoto hata mmoja kwenye mafundsho ya ndoa,kumbe anao watoto wawili" na akawataja kwa majina,kwa point hyo moja Brother akaonekana kuwa ni mwongo na nitapeli
Kwa hyo Mkuu,kuwa makini sana usije ukapoteza muda na kipato pamoja na akili!
 
funga moyo achana na huyo mwanamke.songa mbele utakutana na mrembo zaidi yake atakupenda na atakua mwaminifu kwako.
 
Neno TABIA Ni Kifupisho Cha Maneno Tako Bidhaa Adimu....
Uzuri wa mwanamke sio sura ni tabia Na Kweli Wanaume Tunazingatia Hilo Ndo Maana Tukipishana na wanawake Njiani Ni Lazima Tugeuke Kuangalia Kama TABIA Njema Ipo.....


Kweli, kuna mdau alileta uzi yuko kwenye mafunzo ya ndoa lakini member wote hakuna mwenye
 
Uongo uliurusu mwenyewe kwa kukubaliana kitu ambacho siyo cha kweli...
 
Mlioanza mapenzi kwa simu za smart mnatutatiza sana...kila kona vilio! Ache haya mambo hadi mpevuke kwanza!
 
Fanya research ya kuwajua watu wakaribu wa huyo mwanamke wenye jinsia ya ke wakule ukisha wakula itamuuma sana kuliko ilivyokuuma ww
 
Kagundua kuwa bado mdogo.maana huo uandishi inaonyesha umemaliza form four au upo form three. Soma kwanza mapenzi baadae
 
Wewe utakuwa marioo tu kwahuyo mwanamke wako mwanaume anayejitambua na akili zake hawezi fanya ujinga uliofanya halaf anakuja kuomba ushauri we ni mwanaume kweli ulitakiwa ufanye maamuzi huko huko
 
Kwa uandishi huu una haki kabisa ya kuachwa na huyo mwanamke
Jamani jamani huwezi amini watu wanashindwa kuandika japo kwa ufasaha maneno muhimu katika kiswahili. Hivi ni nini hiki ameandika inaudhi sanaaa "siku kazaa"badala ya "kadhaa" "ivi"badala ya "hivi" "ela" badala ya "hela" inaboa sana aisee. Watu wanadhani wakiongea kwa ufasaha au kuweka herufi husika katika neno husika ni ushamba. Wanadhani ni kisukuma ukisema hela au hivi so stupid. Yani ndo wale kwenye "l" anaweka "r" madai yao swaga wakati ni upuuzi wa kiwango cha makinikia ya makaa ya mawe.
 
Namini ote wazima twende kwenye pamoja mimi nina mwanamke ambaye nipo nae mwaka mmoja sasa toka tuwe mtu na mpenzi wake sasa leo yamenikuta mpenzi wangu ana kaka yake ambaye mtoto wa mjomba yake sasa siku kazaa za nyuma mpenzi wangu aliniambia kua kaka akikuliza mmeachana mwambie ndio kutokana hali ya nyumbani sitaki ajue basi nilifanya hivyo sasa kila nikukutana na kaka yake ananiambia kua dada anatoka na mshikaji mshua mmoja ivi ata kama na mimi ni mtoto wa kishua nikawa mamuitia nikiwa moyoni nahamini kua ni uongo sabu anatabia ya uongo uongo sometimes.sasa leo kanifuata na pikipiki kanambia oya twende kwa shemeji nikabebe ela kuna ela ninashida nayo nimemuomba anisaidia ameniambia nikachukue kwao twende na wewe ukamuone maana si unanibishiga basi tukaaza safari ya kuelekea kule..atimae tukafiki tukakutana na mshikaji duh aisee asila ilinikamata sema ndio ivyo kiume ume nikajikaza nikatoa hai pale freshi jamaa katoa kufika pale oh shemeji nini na nini si unajuaga ukikutanaga na shemeji ako mbwembwe basi akapewa ile ela tukaondoka kwakweri uyo mwanamke nilimpenda sana tena sana nimeludi home kichwa kinaniuma lakini nimejikaza tu kuandika huu uzi ili nipate ushauri nifanyeje maana bado ata sijamtimia sms wala kumuliza wakuu
Ndo tulivyo lakin ulikula mzigo!?
 
Back
Top Bottom