Nimemkumbuka sana IGP Sirro, yupo kimya toka tamko la Marekani juu ya Makonda. Kulikoni?

Kanyamaza, hapendi tena lawama. Je, atakubali kuendelea kuwa IGP kuelekea Uchaguzi Mkuu au atajiuzulu?

Au atatumbuliwa? Maana ni mtu muungwana anayefanya kazi na watu wasio na maadili kama alivyokuwa Kangi.

Je, atakubali kutumika maana yupo kwenye rada ya Wamarekani kuelekea ICC?

Ningekuwa mimi ni yeye ningejiuzulu kutunza heshima kabla ya uchaguzi maana kuna kila dalili za kutwishwa gunia la misumari.
Diwani Athuman anabembelezwa ili awe IGP , zipo tetesi kwamba Sirro kaandika zaidi ya barua 10 za kuomba kujiuzulu
 
Kanyamaza, hapendi tena lawama. Je, atakubali kuendelea kuwa IGP kuelekea Uchaguzi Mkuu au atajiuzulu?

Au atatumbuliwa? Maana ni mtu muungwana anayefanya kazi na watu wasio na maadili kama alivyokuwa Kangi.

Je, atakubali kutumika maana yupo kwenye rada ya Wamarekani kuelekea ICC?

Ningekuwa mimi ni yeye ningejiuzulu kutunza heshima kabla ya uchaguzi maana kuna kila dalili za kutwishwa gunia la misumari.
Kigogo2014 amesema kwamba Sirro aliandika barua ya kustaafu/kujiuzulu/kuachia ngazi mara mbili lakini "MEKO" anachomoa.
 
Hi hi hi hi mbona tayari yupo kwenye orodha.

Marekani wanajua kila kitu ambacho Makonda na genge lake wanafanya hapa nchini na ndio kisa cha kumpa ban ya kutokanyaga U.S!! Kamanda SIRRO ameingia kwenye radar ya marekani kwa sababu ya mauaji yaliyofanyika kule KIBITI Rufiji ; mpaka yakapelekea kwa mwandishi wa habari Azory Gwanda kupotea!!! Kukaa kwake kimya ni strategic ili akistaafu waweze kusahau makando kando yake!
 
Mkuu umezipata wapi hizi
Taarifa kutoka chanzo cha kuaminika zinasema Ciro alitakiwa kuwa DigTiss na Yule bwana aliyejiuzulu juzi akapewa ubalozi kwenye sakata la Kange alitakiwa kuwa CDF. Lakini kutokana na kutoiva na Baba w familia ilibidi amuweke mutu anayemuweza mzee wa kabila.moja na baba. Sintofahamu ni nyingi ndani ya vyombo hivi vya kulia wali wa usalama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanyamaza, hapendi tena lawama. Je, atakubali kuendelea kuwa IGP kuelekea Uchaguzi Mkuu au atajiuzulu?

Au atatumbuliwa? Maana ni mtu muungwana anayefanya kazi na watu wasio na maadili kama alivyokuwa Kangi.

Je, atakubali kutumika maana yupo kwenye rada ya Wamarekani kuelekea ICC?

Ningekuwa mimi ni yeye ningejiuzulu kutunza heshima kabla ya uchaguzi maana kuna kila dalili za kutwishwa gunia la misumari.

Bahati nzuri wanajua hili. Yaani kuna CIA ofisa ambaye yupo Tanzania na anajua kila deal pale bongo.
 
Back
Top Bottom