wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Na siro ndo anachoombea hata kesho
Na siro ndo anachoombea hata kesho
Anajitahidi kweli kweli sema yule akipewa ataharibu jeshi la polisi bora apewe msangi yule zanzibar au muruto wa dodoma
Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiir!Pompeo asitubabaishe Marekani imeua watu wengi sana hata majuzi wameua Khassim Souleiman bila kosa lolote
Diwani Athuman anabembelezwa ili awe IGP , zipo tetesi kwamba Sirro kaandika zaidi ya barua 10 za kuomba kujiuzuluKanyamaza, hapendi tena lawama. Je, atakubali kuendelea kuwa IGP kuelekea Uchaguzi Mkuu au atajiuzulu?
Au atatumbuliwa? Maana ni mtu muungwana anayefanya kazi na watu wasio na maadili kama alivyokuwa Kangi.
Je, atakubali kutumika maana yupo kwenye rada ya Wamarekani kuelekea ICC?
Ningekuwa mimi ni yeye ningejiuzulu kutunza heshima kabla ya uchaguzi maana kuna kila dalili za kutwishwa gunia la misumari.
Awe IGP yeye mwenyewe maana aliwahi Sema I wish I could be an,,,Diwani Athuman anabembelezwa ili awe IGP , zipo tetesi kwamba Sirro kaandika zaidi ya barua 10 za kuomba kujiuzulu
Naomba tu kujua, kwa maana nyingine kiutawala IGP ni Mkubwa kuliko DG TISS? Au imekaaje MkuuDiwani Athuman anabembelezwa ili awe IGP , zipo tetesi kwamba Sirro kaandika zaidi ya barua 10 za kuomba kujiuzulu
Kigogo2014 amesema kwamba Sirro aliandika barua ya kustaafu/kujiuzulu/kuachia ngazi mara mbili lakini "MEKO" anachomoa.Kanyamaza, hapendi tena lawama. Je, atakubali kuendelea kuwa IGP kuelekea Uchaguzi Mkuu au atajiuzulu?
Au atatumbuliwa? Maana ni mtu muungwana anayefanya kazi na watu wasio na maadili kama alivyokuwa Kangi.
Je, atakubali kutumika maana yupo kwenye rada ya Wamarekani kuelekea ICC?
Ningekuwa mimi ni yeye ningejiuzulu kutunza heshima kabla ya uchaguzi maana kuna kila dalili za kutwishwa gunia la misumari.
Hi hi hi hi mbona tayari yupo kwenye orodha.
Taarifa kutoka chanzo cha kuaminika zinasema Ciro alitakiwa kuwa DigTiss na Yule bwana aliyejiuzulu juzi akapewa ubalozi kwenye sakata la Kange alitakiwa kuwa CDF. Lakini kutokana na kutoiva na Baba w familia ilibidi amuweke mutu anayemuweza mzee wa kabila.moja na baba. Sintofahamu ni nyingi ndani ya vyombo hivi vya kulia wali wa usalama.
Kanyamaza, hapendi tena lawama. Je, atakubali kuendelea kuwa IGP kuelekea Uchaguzi Mkuu au atajiuzulu?
Au atatumbuliwa? Maana ni mtu muungwana anayefanya kazi na watu wasio na maadili kama alivyokuwa Kangi.
Je, atakubali kutumika maana yupo kwenye rada ya Wamarekani kuelekea ICC?
Ningekuwa mimi ni yeye ningejiuzulu kutunza heshima kabla ya uchaguzi maana kuna kila dalili za kutwishwa gunia la misumari.
Anajitahidi kweli kweli sema yule akipewa ataharibu jeshi la polisi bora apewe msangi yule zanzibar au muruto wa dodoma