technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,955
- 48,752
Kanyamaza, hapendi tena lawama. Je, atakubali kuendelea kuwa IGP kuelekea Uchaguzi Mkuu au atajiuzulu?
Au atatumbuliwa? Maana ni mtu muungwana anayefanya kazi na watu wasio na maadili kama alivyokuwa Kangi.
Je, atakubali kutumika maana yupo kwenye rada ya Wamarekani kuelekea ICC?
Ningekuwa mimi ni yeye ningejiuzulu kutunza heshima kabla ya uchaguzi maana kuna kila dalili za kutwishwa gunia la misumari.
Au atatumbuliwa? Maana ni mtu muungwana anayefanya kazi na watu wasio na maadili kama alivyokuwa Kangi.
Je, atakubali kutumika maana yupo kwenye rada ya Wamarekani kuelekea ICC?
Ningekuwa mimi ni yeye ningejiuzulu kutunza heshima kabla ya uchaguzi maana kuna kila dalili za kutwishwa gunia la misumari.